Zama hizi hutakiwi kuwa 'mshabiki' wa chama cha siasa kushabikia wanasiasa

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Jan 31, 2021
7,167
12,652
Kama huna maslahi ya moja kwa moja, kama kupata uongozi au posho za uchawa acha mara moja ushabiki wa siasa na kushabikia wanasiasa zama hizi.

Ushabiki wa siasa itakufanya usione mabaya ya chama chako wala mazuri ya chama kingine.

Masuala ya siasa ni muhimu kuliko mpira, usiyaletee ushabiki. Wanasiasa na vyama wanafanya makosa, uwe tayari kuyaona na kuyanyooshea kidole. Kuwashabikia kunaweza kukuzuia kufanya hivyo. Si sifa kuitwa mnazi wa CCM au CDM. Kuwa huru katika fikra zako.
 
Kama huna maslahi ya moja kwa moja, kama kupata uongozi au posho za uchawa acha mara moja ushabiki wa siasa na kushabikia wanasiasa zama hizi. Ushabiki wa siasa itakufanya usione mabaya ya chama chako wala mazuri ya chama kingine.
Masuala ya siasa ni muhimu kuliko mpira, usiyaletee ushabiki. Wanasiasa na vyama wanafanya makosa, uwe tayari kuyaona na kuyanyooshea kidole. Kuwashabikia kunaweza kukuzuia kufanya hivyo. Si sifa kuitwa mnazi wa CCM au CDM. Kuwa huru katika fikra zako.
Hii fikra imeanzia wapi kama sehemu ya funzo kwako. Tupe rejea ya kisa mafunzo kama kipo
 
Ni sahihi kuna vitu sio vya kuvipenda kabisa
1.vita
2.dini za uongo zenye kueneza chuki badala ya kuhubiri amani
3.manabii wa uongo
4.wanasiasa
5.wasanii wanaohamasisha mambo maovu
6.movies za jeuri
 
Back
Top Bottom