Zakhia Meghji ameonewa?

mstahiki

JF-Expert Member
Jul 14, 2007
308
5
Issue ya BOT ilitokea kipindi cha mkapa wakati yeye hakuwa waziri wa fedha?
Kwa nini JK hakumrudisha kwenye wizara yake kama Membe?na wengine?
 
Issue ya BOT ilitokea kipindi cha mkapa wakati yeye hakuwa waziri wa fedha?
Kwa nini JK hakumrudisha kwenye wizara yake kama Membe?na wengine?

Kwa sababu SHE IS NOT COMPETENT IN THAT POSITION and at THIS TIME!
 
Issue ya BOT ilitokea kipindi cha mkapa wakati yeye hakuwa waziri wa fedha?
Kwa nini JK hakumrudisha kwenye wizara yake kama Membe?na wengine?

Sana mtakuja na kusema hata Lowassa, Karamagi na Msabaha walionewa- na kwa nini JK hajawarudisha!
 
Issue ya BOT ilitokea kipindi cha mkapa wakati yeye hakuwa waziri wa fedha?
Kwa nini JK hakumrudisha kwenye wizara yake kama Membe?na wengine?
Waliokosa wote na wengi wa waliopata kwa pamoja wameonewa kwa vile wale waliokosa walikuwa wamepewa majukumu yaliyop nje ya uwezo wao, na wengi wa waliopewa vile vile wamepewa majukumu yaliyo nje ya uwezo wao. Huo ni uoenvu mkubwa kwa watu hawa binafsi na kwa na raia wa jamhuri ya Tanzania wote.
 
Issue ya BOT ilitokea kipindi cha mkapa wakati yeye hakuwa waziri wa fedha?
Kwa nini JK hakumrudisha kwenye wizara yake kama Membe?na wengine?


... Unataka kusema issue ya BOT ndio imechangia huyu mama kutokupewa uwaziri??? Ukiachilia hiyo issue ya BOT, kimsingi, huyu mama ni mbabaishaji na fisadi kama akina lowasa na karamagi. Isitoshe, huyu mama ni incompetent kama walivyosema wachangiaji hapo juu. Kwa kifupi, meghji anatakiwa kumpongeza kikwete kwa yeye kung'olewa hapa wizarani. Wizara, ya fedha inahitaji kichwa makini chenye ufahamu unaohusiana na masuala ya fedha na uchumi.
 
Mjadala huu wa Meghji ndo unaonyesha tulivyo wanafiki kwa nafsi zetu na Taifa letu. Wakati wengine tunasubiri ni hatua zipi zaidi JK atachukua wengine mshageuka!! Mwenyewe alikiri kuwa aliruhusu malipo yasiyo halali kwa utaratibu wa kuandikiana barua yeye na YOna. Je maakatibu wakuu na wakurugenzi husika hawakuwepo? Huo ndio utaratibu alioapa kuufuata kwa mujibu wa katiba? Mauzo ya viwatalu vya uwindaji kiholela na kwa manufaa binafsi mshasahau au kubariki? Binafsi angeachwa ndo angekuwa kaonewa.
Kisingov
 
Kwa sababu SHE IS NOT COMPETENT IN THAT POSITION and at THIS TIME!

Mheshimiwa spika, napenda kulihakikishia Bunge lako tukufu kuwa kwa bajeti hii hakutauwa na kupanda kwa gharama za maisha. Hii ni kauli yake aliyoitoa bungeni baada ya wawakilishi wetu kuona ugumu wa bajeti yake. NOW tumkaribishe ayaone machungu ya gharama za maisha, kuanzia petrol, na vyakula. Sijui JK aliwaza nini kumpa ile nafasi.
 
Jk Akataza Sherehe.........hii Jee?
 

Attachments

  • Kapuyadance[1].jpg
    Kapuyadance[1].jpg
    8.6 KB · Views: 66
fisadi?, duu hio kali!!, i personally think kwamba mama yetu yule ile wizara ilimshinda to be honest, pale panahitaji mtu ambaye sio tuu academeically ni compitent, bali pia ni mtu makin kwelikweli, yule mama pale palimshinda,labda kule kwa wanawake na watoto au utalii i guess angeweza fanya kitu flani lakini sio kule alikokuwa.
 
... Unataka kusema issue ya BOT ndio imechangia huyu mama kutokupewa uwaziri??? Ukiachilia hiyo issue ya BOT, kimsingi, huyu mama ni mbabaishaji na fisadi kama akina lowasa na karamagi. Isitoshe, huyu mama ni incompetent kama walivyosema wachangiaji hapo juu. Kwa kifupi, meghji anatakiwa kumpongeza kikwete kwa yeye kung'olewa hapa wizarani. Wizara, ya fedha inahitaji kichwa makini chenye ufahamu unaohusiana na masuala ya fedha na uchumi.

Ndugu yangu Mwanamalundi umenifurahisha sana. Huo ndio ukweli, huyu mama kila siku mimi nasema, ile wizara alipewa kwa bahati mbaya. Nampongeza Sir. Kikwete kwa kushtuka kuwa alifanya mistake na kumng'oa kwa kishindo. Wewe mtu kasomea sanaa na michezo akasimamie fedha. Then anakuja kwenye vyombo vya habari na kudai kuwa alidanganywa na wazee wa EPA mpaka alipokuja kushtuliwa baadaye ndio akareverse sumu aliyokuwa keshainywa..!! Hii tosha ni indication kuwa mama naye yumo kwenye ufisadi as alianza kujikanyaga. Pia, uelewa wake jamani, hebu nao pia tuuangalie, mama hata hesabu za kitoto anashindwa as ukiona na kusikia comments zake, kama zile za kujustify upandaji wa kodi ya mafuta, pamoja na ile ya ukame, baa la njaa na problem ya umeme against kupanda kwa pato la taifa. Mama aliongea kituko, yaani wataalamu wa kimataifa wangemsikia, wangetuona watanzania wote hatuna akili.
 
Motor vehicle licence mashangingi yake yake ayalipie sasa aone utamu wa kutupandishia bei
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom