feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 6,803
- 12,666
Sawa mkuu tuko pamoja humu ndani hakuna umri.
Sawa mkuu tuko pamoja humu ndani hakuna umri.
Enzi hizo lakin, sio enzi wanaozungumzia hawa jamaa. Mke wa Kwayu alikua na duka pale getini.Hakika nyie ni wana Azania.....Wakati huo mwalimu mkuu ni Kwayu.....
Umeona ee 😂Mbona kama sielewi ulichoandika,
Waziri wa H2O ana mke na mtoto Mdogo wa kike, huyo DC atakuwa ni bi mdogo.
Naona Abdul akajiuliza "hivi niliwahia nini kuoa hii simtank wakati vitu laini lainin viko hapa?!"Ila mke mdogo ilikuwa pisi Kali..😀😀 kwahiyo akaamua aache bimdogo apandishwe cheo..uke wenza noma sana
Kuna jamaa kule nyuma alikuwa anauza mihogo kama sikosei alikuwa anaitwa Hoseni......Enzi hizo lakin, sio enzi wanaozungumzia hawa jamaa. Mke wa Kwayu alikua na duka pale getini.
Kuna jamaa nje ya fence alikua akiuza juice tunamuita Mkemia.
Yeah aisee, ukimaliza corridor ya notice board unapinda kushoto mbele kidogo.Kuna jamaa kule nyuma alikuwa anauza mihogo kama sikosei alikuwa anaitwa Hoseni......
Duh..nilijuaga mkuubwaa..😀😀 kuanzia leo kila unaponiona "Shikamoo Dada yna2" 🤣🤣Mkuu mimi ni mdogo tu baba 25yrs now
Duh..nilijuaga mkuubwaa.. kuanzia leo kila unaponiona "Shikamoo Dada yna2"
Kuna jamaa kule nyuma alikuwa anauza mihogo kama sikosei alikuwa anaitwa Hoseni......
kwahiyo aliukacha u/bimkubwa na sasa kauvaa u/bimdogo!?Yes,Zainab ni mke wa pili wa Ustaadh Jumaa Aweso
Abdul alikua smart kichwani kwa lipi? Alikua na kipaji cha uongozi nakubali ila sio akili, nimesoma Azania miaka 6
Jaribu kutofautisha kipaji na uelewa/akili bwana mdogoKwa hiyo alikuwa kiongozi asiye na akili au?
Wakati nasoma Azania, Ngozye alikuwa mwalimu wa FineArt.Naona vijana wa Ngozye na Mr Ayoub mnachuana
Mchwa mpakaa & nyoniHahahaaa!! Ngozye umenikumbusha mbali sana.....kabla hajawa Headmaster alikuwa anafundisha somo la CIVICS those days........Such a charming man.....
Mchwa mpaka.....
Azania for life.......
OkayAbdul alikua smart kichwani kwa lipi? Alikua na kipaji cha uongozi nakubali ila sio akili, nimesoma Azania miaka 6
Ninachofahamu mimi Aliolewa na Abdul ambaye hana cheo chochote serikalini na baadae wakaachana...kuhusu kuolewa na wazir sijui