chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,685
- 22,694
Usipochomekea tafuta njia ya kupita msikutaneNilipoingia Azania 2009 alikua msaidizi wa chavila baada ya miezi kadhaa chavila akaondoka akakaimu,,,baadae akawa mkuu kamili akaanza unoko na kuharibu kabisa ile test ya Azaboi