Juzi niliona kwenye global online Hajis Manara akimshkuru huyu shemeji yake kwa kumpatia mke.
Hajis anasema bi Zainab Abdalah alienda na mumewe Mh. Waziri wa Maji kujitambulisha kwamba hao ni wanandoa.
Nakumbuka zamani huyu mheshimiwa aliolewa ndoa nzuri Sana, Ila baada ya muda mfupi mumewe akaoa tena mke wa pili, hiyo ilikuwa story kubwa sana wakati ule,, bi Zainab alipost kwenye account zake za kijamii kwamba kaukubali uke wenza na kumpongeza mumewe kwa ndoa Ile, huku wananchi wakimuonea huruma sana kama vile wanavyomuonea huruma ni Sabra Isihaka wa Queen Darleen.
Wajuvi wa Mambo niambieni, hivi huyu waziri ndo yule mumewe alieoaga mke wa pili ama waliachana?
Huyu Dc ni mstaarabu Sana japo kiumri ni mdogo
Hajis anasema bi Zainab Abdalah alienda na mumewe Mh. Waziri wa Maji kujitambulisha kwamba hao ni wanandoa.
Nakumbuka zamani huyu mheshimiwa aliolewa ndoa nzuri Sana, Ila baada ya muda mfupi mumewe akaoa tena mke wa pili, hiyo ilikuwa story kubwa sana wakati ule,, bi Zainab alipost kwenye account zake za kijamii kwamba kaukubali uke wenza na kumpongeza mumewe kwa ndoa Ile, huku wananchi wakimuonea huruma sana kama vile wanavyomuonea huruma ni Sabra Isihaka wa Queen Darleen.
Wajuvi wa Mambo niambieni, hivi huyu waziri ndo yule mumewe alieoaga mke wa pili ama waliachana?
Huyu Dc ni mstaarabu Sana japo kiumri ni mdogo