Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,299
- 33,080
<table border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" width="100%"><tbody><tr><td align="left"><table bgcolor="#dddddd" border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" height="23" width="100%"><tbody><tr><td width="606">
</td> <td align="right" width="139">
</td> <td align="right" width="12">
</td> </tr> </tbody></table></td> </tr> <tr> <td bgcolor="#999999">
</td> </tr> <tr> <td class="shortnews" align="left" bgcolor="#ffffff" valign="top">KAMPUNI ya simu za mkononi ya Zain leo imechezesha droo ya 50 katika Bahati Nasibu yake ya Ongea Uzawadiwe kwenye kampuni ya kuuza magari ya CMC Land Rover jijini Dar es Salaam ambapo Mkuu wa Kitengo cha Kompyuta (IT) Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro (KIA) Bw. John Cassian Shayo, aliibuka na gari aina ya Range Rover Sports yenye thamani ya sh. milioni 200.
</td></tr></tbody></table>
</td> <td align="right" width="139">
</td> <td align="right" width="12">
</td> </tr> </tbody></table></td> </tr> <tr> <td bgcolor="#999999">
<!--ThumbBegin-->
<!--ThumbEnd-->
Hili ndilo gari alilojishindia Bw. Shayo.
<!--ThumbBegin-->
<!--ThumbEnd-->
Mkurugenzi Mkuu wa CMC, Land Rover, Bw. Anthony Haji akielezea faida ya umuhimu wa kutumia gari hilo la kifahari. Kushoto ni Meneja Uhusiano wa Zain, Muganyizi Mutta.
<!--ThumbBegin-->
<!--ThumbEnd-->
Mwandishi wa habari, Cecy Jeremiah, (wa pili kulia) akibonyeza kitufe ili kupata namba ya mshindi wa droo hiyo. Kulia ni mkaguzi wa Bahati Nasibu, Bakari Maggid. Wa pili kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Masoko wa Zain, Kelvin Twissa, na kushoto ni Meneja Uhusiano za Zain, Muganyizi Mutta.
<!--ThumbBegin-->
<!--ThumbEnd-->
Afisa Habari wa Zain, Leticia Kaijage, akichukua maelezo wakati droo hiyo ikichezeshwa.
<!--ThumbBegin-->
<!--ThumbEnd-->
Afisa wa Zain, Caroline Kikwezi, akitoa ufafanuzi wa jinsi ya kutumia huduma ya REWARDZ ambayo mteja aliyejiunga na huduma hii hupata punguzo anapokwenda kupata huduma kwa mawakala kama vile Hoteli ya Movenpick ambao ni moja kati ya mawakala wao.
Hili ndilo gari alilojishindia Bw. Shayo.
<!--ThumbBegin-->
Mkurugenzi Mkuu wa CMC, Land Rover, Bw. Anthony Haji akielezea faida ya umuhimu wa kutumia gari hilo la kifahari. Kushoto ni Meneja Uhusiano wa Zain, Muganyizi Mutta.
<!--ThumbBegin-->
Mwandishi wa habari, Cecy Jeremiah, (wa pili kulia) akibonyeza kitufe ili kupata namba ya mshindi wa droo hiyo. Kulia ni mkaguzi wa Bahati Nasibu, Bakari Maggid. Wa pili kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Masoko wa Zain, Kelvin Twissa, na kushoto ni Meneja Uhusiano za Zain, Muganyizi Mutta.
<!--ThumbBegin-->
Afisa Habari wa Zain, Leticia Kaijage, akichukua maelezo wakati droo hiyo ikichezeshwa.
<!--ThumbBegin-->
Afisa wa Zain, Caroline Kikwezi, akitoa ufafanuzi wa jinsi ya kutumia huduma ya REWARDZ ambayo mteja aliyejiunga na huduma hii hupata punguzo anapokwenda kupata huduma kwa mawakala kama vile Hoteli ya Movenpick ambao ni moja kati ya mawakala wao.
</td></tr></tbody></table>