Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 12,791
- 22,224

Mbunge wa Mbinga Magharibi,John Komba akicheza muziki wa African Stars 'Twanga Pepeta International' akiwa ameshika ungo wakati wa hafla iliyoandaliwa na Zain Tanzania mjini Dodoma, wikiendi.
Haya Wana JF, je kwa mtindo huu tutegemee nini kwa watunga sheria wetu kama Waamuzi na Wachezaji wako timu moja ?

Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni na Michezo,Joel Bendera akicheza na Ofisa Uhusiano wa Zain Tanzania,Celine Njuju,muziki ulioporomoshwa na African Stars 'Twanga Pepeta International'mjini Dodoma,wikiendi.
Na bado

Mbunge wa Viti Maalumu,Anna Lupembe(kushoto)akicheza muziki wa bendi ya African Stars (Twanga Pepeta International)na Mbunge wa Mbinga Magharibi,John Komba wakati wa hafla iliyoandaliwa na kampuni ya simu za mkononi ya Zain Tanzania mjini Dodoma,wikiendi
Duh, kazi kweli kweli !!!!