Zain Dakika za mwisho kuuzwa, kubadili jina na kuwa AirTel?

If this is the case!! then we are done

Vivi..Ishu hapa sio Tanzania pekee,Zain Tanzania inamilikiwa na kampuni mama ambayo ni Zain Africa iliyo chini ya Zain Group ya Kuwait,kilichotokea hapa ni kwamba Zain Group wameamua kuiuza Zain Africa(Zain Tanzania inaangukia humu) na kusitisha shughuli zake katika bara la Afrika,hivyo si Tanzania pekee itakayoathirika na uuzwaji huu wa Zain Africa,nchi nyingine ni Burkina Faso,Chad,Congo DRC,Congo Brazaville, Gabon, Ghana,Kenya,Madagascar,Malawi,Niger,Nigeria,Sierra Leone,Uganda,Zambia na Morocco.

Katika mchakato huu wa kutaka kuuza Zain Africa imetokea Bharti Airtel ya India ndo imenunua Zain Africa,hivyo Zain Tanzania itabadilika na kuitwa Airtel...Hope ujio wa Airtel utapelekea kupungua kwa gharama za mawasiliano ya simu za mkononi maana huko kwao wanakotoka(India) gharama za simu ni ndogo sana ukilinganisha na Tanzania...Tusubiri na tuone
 
Inauzwa India mmh ????

Kutoka Celtel
Kuingia Zain
Baadae Airtel
aaagggggggggggggggggggggggg
 
Washafulia haoo

Hawajafulia wala nini....Ujio wa hawa jamaa wa Airtel waweza kuwa mapinduzi kwa huduma ya simu za mikononi Tanzania(hasa katika suala zima la gharama za simu za mikononi ambalo ni tatizo kubwa Bongo,jamaa wanatuibia sana)...Tusiwahukumu mapema,tusubiri tu na tuwaone
 
Inauzwa India mmh ????

Kutoka Celtel
Kuingia Zain
Baadae Airtel
aaagggggggggggggggggggggggg

Dada...Wahindi ni wazuri sana kwenye sekta ya mawasiliano(ya simu)...Nadhani hawa jamaa wakija wataleta changamoto sana kwa VodaCom,TiGo,Zantel,SasaTel na TTCL.......
 
Vivi..Ishu hapa sio Tanzania pekee,Zain Tanzania inamilikiwa na kampuni mama ambayo ni Zain Africa iliyo chini ya Zain Group ya Kuwait,kilichotokea hapa ni kwamba Zain Group wameamua kuiuza Zain Africa(Zain Tanzania inaangukia humu) na kusitisha shughuli zake katika bara la Afrika,hivyo si Tanzania pekee itakayoathirika na uuzwaji huu wa Zain Africa,nchi nyingine ni Burkina Faso,Chad,Congo DRC,Congo Brazaville, Gabon, Ghana,Kenya,Madagascar,Malawi,Niger,Nigeria,Sierra Leone,Uganda,Zambia na Morocco.

Katika mchakato huu wa kutaka kuuza Zain Africa imetokea Bharti Airtel ya India ndo imenunua Zain Africa,hivyo Zain Tanzania itabadilika na kuitwa Airtel...Hope ujio wa Airtel utapelekea kupungua kwa gharama za mawasiliano ya simu za mkononi maana huko kwao wanakotoka(India) gharama za simu ni ndogo sana ukilinganisha na Tanzania...Tusubiri na tuone

Heshima Mkuu Balantanda

Hapo kwenye nyekundu sio raisi sana kwa Tanzania Sheria zetu zinakuwa hazina nguvu sana ya kuwacontrol hawa Wanaoitwa wawekezaji, kwa sababau wakiingia wataangalia soko likoje na wao wataingia kwenye soko la TAnzania kama wengine (Voda),

mfano mzuri ni haohao ZAIN, ukipiga dola kumi kwenda Ghana hardly unaongea dakika tatu mpaka nne, lakini dola kumi hiyohiyo ya ZAIN ukipiga kutoka Ghana kuja Tanzania unaongea almost dakika saba mpaka nane, hii pia kwa voda ni hivyohivyo, ukitumia SAR kumi unaongea vya kutosha kutoka SA kuja TZ, lakini kwa kiasi hicho cha pesa huwezi kuongea muda kama huo kutoka TZ kwenda SA

KWA HIYO TUSITARAJIE MABADILIKO MAKUBWA HAPO
 
mkuu balantanda,nashukuru kwa taarifa yako maana imejitosheleza sana.pia inatuondoa hofu ya kudhani sababu ya kuuzwa kwa zain ina uhusiano na tax holiday. kitu kimoja ambacho tunapaswa kuelewa nh kwamba bei ya huduma yoyote inatokana na gharama za uendeshaji kwahiyo na kwa sector binafsi wanahitaji kurecoup investment yao kwahivyo sioni dalili zozote za bharti airtel kuja na bei ndogo hapa.
 
Wakuu,

Hii si habari ya kushangaa, inajulikana. The fact kuwa wakati ule wanaingia MSI int. tuliwaachia wachukue Celtel kwa bei chee, tuliyataka wenyewe. Kwa nini tunashangaa leo!! Mtaji wa celtel ulitoka TTCL, baadaye kimafia tu wakapewa wale wazungu uchwara ambao hata ile $ 60mil hawakulipa!! Sasa leo tunashangaa nini?

MSI waliiuza kwa MTC Telephone ambao ni originally wamiliki wa Zain brand. Hii ilikuwa 2005 waka-negotiate vizuri na kuchua 100% wakamiliki kampuni mama ya Celtel ilikuwa inaitwa "celtel international" based in Amsterdam. MTC Telecom wakaingia in full swing from 2007, wakatengeneza brand mpya "zain" na kutengeneza slogan mpya!! Rasmi ikawa ZAIN GROUP based in Bharain, wakafunga ofisi ya Amsterdam.

MTC Telecom wako registered kwa Kuwait Stock Market; based on their perfomances there has been several attempt in acquiring ZAIN Group. Hata last year VIVEND tried... Bharti wakafanikiwa late Feb 2010; wakaingia into an exclusive discussion discussing an offer of $ 10.9bn until 25th March 2010.
 
Heshima Mkuu Balantanda

Hapo kwenye nyekundu sio raisi sana kwa Tanzania Sheria zetu zinakuwa hazina nguvu sana ya kuwacontrol hawa Wanaoitwa wawekezaji, kwa sababau wakiingia wataangalia soko likoje na wao wataingia kwenye soko la TAnzania kama wengine (Voda),

mfano mzuri ni haohao ZAIN, ukipiga dola kumi kwenda Ghana hardly unaongea dakika tatu mpaka nne, lakini dola kumi hiyohiyo ya ZAIN ukipiga kutoka Ghana kuja Tanzania unaongea almost dakika saba mpaka nane, hii pia kwa voda ni hivyohivyo, ukitumia SAR kumi unaongea vya kutosha kutoka SA kuja TZ, lakini kwa kiasi hicho cha pesa huwezi kuongea muda kama huo kutoka TZ kwenda SA

KWA HIYO TUSITARAJIE MABADILIKO MAKUBWA HAPO


Kituko,

Hilo si tatizo la makampuni ya simu... TCRA wameshindwa kazi. They are the governing body... they are to regulate tarrif kwa kuangalia nafuu ya mtumiaji...
 
Kituko,

Hilo si tatizo la makampuni ya simu... TCRA wameshindwa kazi. They are the governing body... they are to regulate tarrif kwa kuangalia nafuu ya mtumiaji...

Inashangaza watu walitegemea vitu tofauti kana kwamba Tz iliacha kuwa shamba la bibi! pamoja na haya makampuni kuwa international companies, ukiwa nje ya nchi it is cheaper kupiga simu Kenya au popote kuliko Tz, pamoja na kwamba Safaricom,/ Voda, Zain etc wanaoperate kwenye nchi zote hizi.
 
Inashangaza watu walitegemea vitu tofauti kana kwamba Tz iliacha kuwa shamba la bibi! pamoja na haya makampuni kuwa international companies, ukiwa nje ya nchi it is cheaper kupiga simu Kenya au popote kuliko Tz, pamoja na kwamba Safaricom,/ Voda, Zain etc wanaoperate kwenye nchi zote hizi.

Mkuu,

Kuna watu nchi hii hawafanyi kazi zao!!!
Suala la calling rates, ni uzembe mkubwa wa TCRA, hivi una habari TCRA always bend its nees to the celphone companies when proposing tarrif changes; tIGO, VODA, ZAIN, ZANTEL they all come together and screw TCRA, a body which has to look what consumer has to spend!!!

Hakuna jipya hapa.... tusonge tu.:mad:
 
Tuache kufanya masihala sasa. Haya mambo yanaweza kuwa na long term impact kwa Taifa. Tumeamua kukaa pembeni na kuwaacha wawekezaji wacheze vile wanavyotaka kucheza kwa manufaa ya nani? It is time now to invest in our local made companies.
 
Imeondolewa na sheria gani mkuu, tufahamishane pls.

Tax holiday ilikuwa inatolewa chini ya The National Investment (Promotion and Protection) Act 1990. Sheria hii ilikuwa repealed chini ya sheria 'mpya' ya uwekezaji ya mwaka 1997 (Tanzania Investments Act, 1997). Kama upo interested zaidi unaweza kusoma kifungu cha 30 and 31 cha sheria hiyo 'mpya' ya uwekezaji.
 
Kweli, kampuni hii inasemekana itauzwa kwa kiasi cha shilingi dola bilioni 11,na jina lake jipya itaitwa AIRTEL

Slow down Mr.

Shilingi dola bilioni 11 ndio vitu gani?

imeuzwa kwa dola bilioni 11?(i doubt that very much,hizi ni price tags za kina Yahoo,Palmone,RIM etc)

au imeuzwa kwa Tshs bilioni 11?(may be this one)

unapoandika,jaribu kurudia kusoma ulichoandika,no hurry to click send button.
 
Mmmh! muhindi? Naona kama wale wa Rites vile, anyway sina cha kufanya japo muhindi namuona ka muaji vile.
 
Slow down Mr.

Shilingi dola bilioni 11 ndio vitu gani?

imeuzwa kwa dola bilioni 11?(i doubt that very much,hizi ni price tags za kina Yahoo,Palmone,RIM etc)

au imeuzwa kwa Tshs bilioni 11?(may be this one)

unapoandika,jaribu kurudia kusoma ulichoandika,no hurry to click send button.

Kuwaiti telecommunications operator Zain has confirmed that is has received an offer to buy its operation in Africa in a deal worth as much as US$10.7 billion (Dh39.3bn)
 
Hawajafulia wala nini....Ujio wa hawa jamaa wa Airtel waweza kuwa mapinduzi kwa huduma ya simu za mikononi Tanzania(hasa katika suala zima la gharama za simu za mikononi ambalo ni tatizo kubwa Bongo,jamaa wanatuibia sana)...Tusiwahukumu mapema,tusubiri tu na tuwaone

I beg to differ,they will focus on maximizing profits and ROI for the next 3-6 years which ever comes first,that's just how business is run.

back to Airtel,what i see here is opportunist,they have acquired a company that is well established and they don't have to invest anything in R&D or direct investment to TZ.
revenue za Zain are more than enough to cover operational costs,the fact is jamaa wamenunua Low,at a time when many companies are unhappy with their finances,am sure they will sell high in the next 5 years.i stand before my words.

India as a country do not posses anything valuable in Telecommunications,it's infrastructures and services are as bad as most 3rd world countries,so i expect no miracles here.

wale jamaa wa reli wameishia wapi vile?
 
Tax holiday ilikuwa inatolewa chini ya The National Investment (Promotion and Protection) Act 1990. Sheria hii ilikuwa repealed chini ya sheria 'mpya' ya uwekezaji ya mwaka 1997 (Tanzania Investments Act, 1997). Kama upo interested zaidi unaweza kusoma kifungu cha 30 and 31 cha sheria hiyo 'mpya' ya uwekezaji.

Hiyo mpya inasemaje?
 
Slow down Mr.

Shilingi dola bilioni 11 ndio vitu gani?

imeuzwa kwa dola bilioni 11?(i doubt that very much,hizi ni price tags za kina Yahoo,Palmone,RIM etc)

au imeuzwa kwa Tshs bilioni 11?(may be this one)

unapoandika,jaribu kurudia kusoma ulichoandika,no hurry to click send button.


In New Delhi, Bharti Airtel’s spokesperson declined to comment, but a senior company executive who didn’t want to be named confirmed the transaction and said Bharti would issue a statement to the stock exchanges on Monday.

Bharti’s chairman and biggest shareholder Sunil Mittal is seeking to enter Africa, one of the world’s fastest growing telecommunications markets, as competition intensifies on his home turf. His company failed last year to buy MTN Group Ltd for around $23 billion, its second attempt to take over the South African firm
.

i hope utaona jinsi $11 billion ilivyo cheap deal kwao
 
Hiyo mpya inasemaje?

Kuhusu nini? Kama ni tax holiday hakuna! Kuna protection tu kwa strategic investors kwamba baada ya kupewa certificates of incentives na TIC, sheria haiwezi kubadilishwa to their detriment kwa kipindi cha miaka mitano.

Nadhani watu wanachanganya sana vitu hivi. Kampuni ndio inayopewa hizo incentives. Hivyo the company called Celtel Tanzania Limited (with business name 'Zain') hata kama shareholders wake watabadilika, hiyo haina maana Celtel Tanzania Limited inaanza upya au itakuwa regarded kama investor mpya.
 
Back
Top Bottom