Tigga Mumba
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 746
- 473
Nimenunua modem ya zain airport leo hii na kuambiwa kuwa nimepewa 8GB kwa mwezi mzima. Mpaka sasa inakataa, inaleta error code wakati wa kudial. Nimepiga zain call centre toka saa kumi na nusu hawapokei. ZAIN SUCKS