Zaidi ya Wafanyakazi 200 wa Facebook wadai Kampuni hiyo inawalazimisha kurejea Ofisini licha ya mlipuko wa COVID-19

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Zaidi ya Wafanyakazi 200 wa Facebook wamedai Kampuni hiyo inawalazimisha wasimamia maudhui kurudi ofisini licha ya hatari ya kupata maambukizi ya CoronaVirus.

Wafanyakazi hao wanadai Kampuni hiyo inahatarisha maisha ili kupata faida huku wakitaka ifanye mabadiliko kuruhusu kazi kufanyika nje ya Ofisi na vilevile kutoa manufaa mengine.

Akijibu madai hayo, Msemaji wa Facebook amesema idadi kubwa ya wasimamia maudhui 15,000 wamekuwa wakifanya kazi nyumbani na wataendelea kufanya hivyo.

Mwezi Agosti mwaka huu, Facebook ilitangaza kuwa wafanyakazi wake watafanya kazi kutokea nyumbani hadi 2021.

======

More than 200 Facebook workers from around the world have accused the firm of forcing its content moderators back to the office despite the risks of contracting coronavirus.

The claims came in an open letter that said the firm was "needlessly risking" lives to maintain profits.

They called on Facebook to make changes to allow more remote work and offer other benefits, such as hazard pay.

Facebook said "a majority" of content reviewers are working from home.

"While we believe in having an open internal dialogue, these discussions need to be honest," a spokesperson for the company said.

"The majority of these 15,000 global content reviewers have been working from home and will continue to do so for the duration of the pandemic."

In August, Facebook said staff could work from home until the summer of 2021.

But the social media giant relies on thousands of contractors, who officially work for other companies such as Accenture and CPL, to spot materials on the site that violate its policies, such as spam, child abuse and disinformation.

In the open letter, the workers said the call to return to the office had come after Facebook's efforts to rely more on artificial intelligence to spot problematic posts had came up short.

"After months of allowing content moderators to work from home, faced with intense pressure to keep Facebook free of hate and disinformation, you have forced us back to the office," they said.

"Facebook needs us. It is time that you acknowledged this and valued our work. To sacrifice our health and safety for profit is immoral."
 
Back
Top Bottom