BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 422
- 1,049
Afisa Ustawi wa Jamii wa Manispaa ya Temeke, Lilian Mafole na kusema chanzo cha kuvunjika kwa ndoa hizo ni mifarakano, wivu wa mapenzi na kipato duni.
Afisa Ustawi amesema kutokana na ndoa hizo kuvunjika watoto wamekuwa wakiteseka kwa kukosa malezi na hatimaye watoto hao kujikuta wakifanyiwa ukatili wa kingono kutokana na kutokuwa na malezi bora kutoka kwa wazazi wa pande zote mbili.
Chanzo: Eatv