Zaidi ya Ma-MC 10 kuongoza harusi ya Masanja Mkandamizaji

View attachment 365277 View attachment 365273 View attachment 365271
Katika kuwahabarisha watu wake na mashabiki wake,Masanja Mkandamizaji ameandika hivi katika mtandao wake
MBWEMBWE ZOOOOOOTE ZIMEISHIA KWA BINTI HUYU WA KISUKUMA HAKIKA KAWAZIDI WOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOTEEEEEEEEE

JAMANI KAMA ULIWAHIGI NIPENDA AU NILIWAHIGI KUKUPENDA BASI TUENDELEE KUOMBEANA MAANA HAPA NDO BREAK YA MBELE.

NAMPENDA MPAKA NASIKIA KIZUNGUZUNGU.
NAONA TAR 14 HAIFIKI

NATAMANI UKUMBINI MKAE SITI YA MBELE ILI USHUHUDIE MA STEP

ZAIDI YA MA MC 10 NIKIWEPO MIMI TUTAONGOZAAAAAAAAAAAAAAA TUKIO.

JAMANI KUSEMA UKWELI HAKA KA BINTI NAKAPENDA MWEEEEEH

KAMA HAUJAJISIKIA VIBAYA TUTAKIE KILA LA KHERI NA USIPOTUTAKIA MUNGU ATAFANYAAA
Hivi hako kabinti kamewazidi nini wengine aliopitia?
 
Ikikuuma lazima useme.
Ndicho kilichomkuta nifah.
Unajua mmeo kama hakusifii..kama hakutoi out,kama anaogopa kutembea sambamba na ww.
Teh..teh..teh..
Ujue unamatatzo na matatzo yanakuja kujidhihirisha wazi jinsi unavyowaonea wivu wanaume wa wanawake wenzio wanaopendwa na kusifiwa na waume zao.
Na wasi wasi umeachika kitambo ww..na unahasira ya kuwa single mother..
Kusifiwa unakusikiaga redion na kusoma jf.
Hahhahahhahahaha.
 
Ikikuuma lazima useme.
Ndicho kilichomkuta nifah.
Unajua mmeo kama hakusifii..kama hakutoi out,kama anaogopa kutembea sambamba na ww.
Teh..teh..teh..
Ujue unamatatzo na matatzo yanakuja kujidhihirisha wazi jinsi unavyowaonea wivu wanaume wa wanawake wenzio wanaopendwa na kusifiwa na waume zao.
Na wasi wasi umeachika kitambo ww..na unahasira ya kuwa single mother..
Kusifiwa unakusikiaga redion na kusoma jf.
Hahhahahhahahaha.

Hehehehe watu washaanza kujisikia vibaya tayari si kampenda wa kwake jamani tatizo wapii
 
Back
Top Bottom