Hivi hako kabinti kamewazidi nini wengine aliopitia?View attachment 365277 View attachment 365273 View attachment 365271
Katika kuwahabarisha watu wake na mashabiki wake,Masanja Mkandamizaji ameandika hivi katika mtandao wake
MBWEMBWE ZOOOOOOTE ZIMEISHIA KWA BINTI HUYU WA KISUKUMA HAKIKA KAWAZIDI WOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOTEEEEEEEEE
JAMANI KAMA ULIWAHIGI NIPENDA AU NILIWAHIGI KUKUPENDA BASI TUENDELEE KUOMBEANA MAANA HAPA NDO BREAK YA MBELE.
NAMPENDA MPAKA NASIKIA KIZUNGUZUNGU.
NAONA TAR 14 HAIFIKI
NATAMANI UKUMBINI MKAE SITI YA MBELE ILI USHUHUDIE MA STEP
ZAIDI YA MA MC 10 NIKIWEPO MIMI TUTAONGOZAAAAAAAAAAAAAAA TUKIO.
JAMANI KUSEMA UKWELI HAKA KA BINTI NAKAPENDA MWEEEEEH
KAMA HAUJAJISIKIA VIBAYA TUTAKIE KILA LA KHERI NA USIPOTUTAKIA MUNGU ATAFANYAAA
Smile,you don't own all the problems in the WorldWivu for what?
Ulitaka nitangaze akijisifu?
Au ulitaka anisifie hadharani hata huku JF?
Acha undezi wewe.
Alichowazidi ni kuwa Masanja hataki Pressure ya kuibiwa.Hivi hako kabinti kamewazidi nini wengine aliopitia?
Hebu mwacheni mzee wa watu, kwani alisha maliza 40 ya msiba wa mama?Le mutuzz atakwepo?
mimi siolewi na mtu kama masanja hata kwa winchi
misifa majivuno muongo mnafiki
nampenda kwa kuchekesha tu
Ikikuuma lazima useme.
Ndicho kilichomkuta nifah.
Unajua mmeo kama hakusifii..kama hakutoi out,kama anaogopa kutembea sambamba na ww.
Teh..teh..teh..
Ujue unamatatzo na matatzo yanakuja kujidhihirisha wazi jinsi unavyowaonea wivu wanaume wa wanawake wenzio wanaopendwa na kusifiwa na waume zao.
Na wasi wasi umeachika kitambo ww..na unahasira ya kuwa single mother..
Kusifiwa unakusikiaga redion na kusoma jf.
Hahhahahhahahaha.
kweli shostiNdio maana kaoa huyo anaependa hivyo vyote kwa Masanja
Yaani ungejua watu tunashindia makabichi ya kuchemsha kupata hako kainglishi figa, wala usingesema wazuri hawaolewagiDahhhh kweli Mademu wazuri hawaolewagi !!
kweli shosti
ndo hivo
masanja mchungaji? mtumishi??????
Picha si hio hapo?
Hehehehe watu washaanza kujisikia vibaya tayari si kampenda wa kwake jamani tatizo wapii
haaaaa LolNdo tatizo la watu walioachika, muache masanja wa watu afurahie maisha. Kobe mzee
utaolewa na mtu kama yupi???mimi siolewi na mtu kama masanja hata kwa winchi
misifa majivuno muongo mnafiki
nampenda kwa kuchekesha tu
Ndo tatizo la watu walioachika, muache masanja wa watu afurahie maisha. Kobe mzee