jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Labda unieleweshe
Unaongelea muundo ama mfumo?
Kwanza si kweli wabunge wote wanafadhiliwa na mfumo kuupata ubunge, na mara nyingi wanaofadhiliwa ndo hao baadae unawaona ktk nyadhifa maana wanakuwa wameshajipanga tangu mwanzo.
Nauhakika hakuna mfumo uliomweka Magufuri kuupata ubunge wala mfumo uliomweka seleli. Sasa mfumo unaoongea hauko bayana unaongelea nini.? wewe vipi hiyo chadema ni mfano mbona waja juu.teh teh teh teh huo mfano wa chadema ndo mfumo huo.
Mfumo/system kwa mujibu wa encarta;
- complex whole formed from related parts: a combination of related parts organized into a complex whole
- set of principles: a scheme of ideas or principles by which something is organized
- way of proceeding: a method or set of procedures for achieving something
Vitu vingine vyepesi hadi utafuniwe na hapo hapo unagangamala ukiwa hata huelewi....Eti hakuna mfumo uliowaweka Magufuli wala Seleli,are you kidding?Pia Inawezekana hata hayo uliyoyasema kuhusu muundo wa uongozi yakawa pia ni part ya mfumo,ukitizama kwa makini unaweza ona namba 1 na 2 zinaweza kuwa applicable,umeelewa?