Maendeleo EndelevuGood idea! TTCL hawana miundo mbinu ya kutosha ndo maana hata utandazaji wake ukaishia kwenye baadhi ya sehemu tu! Sasa sijui kuna technlojia ipi, lakini kama inawezekana kutandaza mkongo wa mawasiliano kupitia lines za TANESCO, na kwavile TANESCO imeenda hadi vijijini, basi usambazaji wake utafika mbali zaidi kuliko ilivyokuwa upande wa TTCL
Hata hivyo, interest yangu sio kushuka bei, kwa sababu I bet haitashuka lakini angalau huduma itaweza kupatikana hadi vijijini
Tulia weweMbona hatuoni kazi ikianza
Nitulie ili uendelee kuipiga nchi kwa kuongea porojo pasipo kutekelezaTulia wewe
Utasikia vp na bado unalala sebuleni?Huu mpango umeishia wapi maana hata sisikii chochote kile wamefikia wapi unaishi lini garama za mtu mmojammoia kwa mwenz shinga Tanzania siasa kila kona
Mpe mshikaji Laptop yake, au mrudishie kilo yakeMbona hatuoni kazi ikianza