Zahanati kila kata

BabaK

Member
Jun 30, 2009
14
0
securedownload.jpg
Tuwe na huruma na Watanzania hasa tunapotaka kuchukua ridhaa kwao, kuwaongoza na nakuhakikisha huduma za msingi zinapatikana kwa ubora unaoridhisha
 
Achana nao hao...wabishi kinoma...muulize chama gani kizuri atakuambia CCM! Mimi nikienda village kwangu huwa nakereka kwa ubishi wa watu....hajui kuwa CCM inawadidimiza...ati wanakuambia chama kingine kitaleta balaa, bora hii hali....nikijaribu kuwaelimisha, naishi kuambiwa tai mkaidi, CCM imenisomesha halafu naleta jeuri!
 
Back
Top Bottom