Lusekelo Edson Jacob
Member
- Nov 29, 2012
- 6
- 0
Arsenal the Gunners kupitia kwa msemaji meneja wao Arsene Wenger imethibitisha kuwa ipo katika mazungumzo na mshambuliaji kinda wilfred zaha wa klabu ya crystal palace yenye makazi yake huko nchini Australia, klabu hiyo imethibitisha kumwania kinda huyo mwenye miaka 18 ili kuandaa kuziba pengo la mchezaji Theo Walcott ambaye ameonekana kusuasua katika kusaini mkataba mpya na klabu iyo ya Arsenal.