kwani inashindikana kua Naibu waziri mkuu na vile vile ukawa Makamu mwenyekiti wa CCM bara?🐒Tetesi za ndani kabisa kutoka viunga vya Kizimkazi zinasema mama anamtaka Biteko kuwa ndiye awe makamu mwenyekiti wa ccm.
Endapo itakuwa kama inavyosemekana, je, nani atachukuwa nafasi ya unaibu waziri mkuu? Au nafasi hii itafultiliwa.mbali??
Sijui itakaaje, maana cheo chenyewe cha unaibu waziri mkuu hakipo kwenye katiba. Kichwa cha Samia ndiyo kinajua majukumu ya cheo hicho.kwani inashindikana kua Naibu waziri mkuu na vile vile ukawa Makamu mwenyekiti wa CCM bara?🐒
kwani wizara ya mipango na uchumi iko kwenye katiba?🐒Sijui itakaaje, maana cheo chenyewe cha unaibu waziri mkuu hakipo kwenye katiba. Kichwa cha Samia ndiyo kinajua majukumu ya cheo hicho.
Naibu wa cheo kilichopo kwenye katiba (waziri mkuu). How?kwani wizara ya mipango na uchumi iko kwenye katiba?🐒
Hata kwa nyundo hatoingia ikulu.Huenda ndiye Rais ajaye baada ya Mama kumaliza muhula wake.
Awe tu yeyote yule. Ila, habari za fomu moja ya urais hatutaki. Kila mtu ajipime ubavu hakuna mambo ya kudraTetesi za ndani kabisa kutoka viunga vya Kizimkazi zinasema mama anamtaka Biteko kuwa ndiye awe makamu mwenyekiti wa ccm.
Endapo itakuwa kama inavyosemekana, je, nani atachukuwa nafasi ya unaibu waziri mkuu? Au nafasi hii itafultiliwa.mbali??
AkilikubwaHilo linawezekana sababu kubwa ni kanda ya ziwa ina wapiga kura.wengi na kivuli cha magufuli kinaendelea kuwatesa ccm.
Miradi yote wanaendeleza vision and legacy ya magufuli japo hata stendi inawashinda kuiendesha
kwani imeathiri wapi hiyo katiba? Na he, huyo kijana ni wa kwanza kua Naibu waziri mkuu au ni gubu tu 🐒Naibu wa cheo kilichopo kwenye katiba (waziri mkuu). How?
Hapa ni sawa na kuwa mchungaji .kuwa msaidizi wa shekhe. How?
Fomu moja ndiyo tumaini la mwisho lililobakia kwa mkizimkazi kuendelea kuwa pale Magogonj. Likibatilishwa hili atavua ushungi na atatembea kwa mguu kurudi kwao.Awe tu yeyote yule. Ila, habari za fomu moja ya urais hatutaki. Kila mtu ajipime ubavu hakuna mambo ya kudra
Haijalishi ni wa pili au ni WA mia moja. Ishu ni majukumu ya kikatiba atayagusa vipi wakati katiba haimtambui?kwani imeathiri wapi hiyo katiba? Na he, huyo kijana ni wa kwanza kua Naibu waziri mkuu au ni gubu tu 🐒