Babu Ubwete
Senior Member
- Jan 26, 2008
- 169
- 29
Habari zenu waungwana wana JF. Idumu JF, Tukumbukane wazee wa enzi za BCS Times. Ningependa kufahamu ile shutuma ya kutapeliwa wanawake matajiri wake za vigogo kupitia mchezo wa Upatu iliyomkabili huyu mama Zarina Madabida ilizimwa vipi kwani alikusanya mamilioni ya pesa na kutoweka nje ya nchi. Kweli wanaonusa pesa ndio wanaoingia kutuongoza ufisadi utaisha kweli.