Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,833
- 155,780
heka 12.5 kwa sh 20m kwa mwaka na mkataba wa miaka kibao na UDA.
Huyu Gabachori ni adui yetu mkubwa anahutujumi huku anatuchekea.
Tunazo kumbukumbu zako nyingi za mauziano ya maghala ya Ubungo na NSSF na uhuni mwingine mwingi.
Je watanzania tumekukosea nini hadi ututende yote haya.!???
Huyu Gabachori ni adui yetu mkubwa anahutujumi huku anatuchekea.
Tunazo kumbukumbu zako nyingi za mauziano ya maghala ya Ubungo na NSSF na uhuni mwingine mwingi.
Je watanzania tumekukosea nini hadi ututende yote haya.!???