Wingu
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,318
- 401
Embu muulize Rage alifuata nini magereza na sasa hivi yuko wapi anaongoza chama gani na timu gani?Ukijibu haya utanyamaza.
Huwezi kunieleza lolote Mkuu. Fisadi ni fisadi tu na wewe inaelekea ni mmojawao. Mtu yeyote aliyeshiriki wizi wa hela za watanzania na leo hii anajidai eti anasaidia team wapi na wapi. Atoke hadharani aeleze hela za Kagoda period. Wewe ndo wale ambao mnampinga Masaburi. Mbona action imechukuliwa, yuko wapi Simba na UDA yake? Ninajua ninachoongea ndugu ID Anselm!!