ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,019
- 3,878
Habari za asubuhi;
Tukiweka habari za barua pembeni kati ya Mkuu wa Mkoa Mstaafu Ndugu Yusuphu Makamba na Mkuu wa mkoa wa sasa Paul Makonda nani zaidi;
Tutumie vigezo vifuatavyo:
Tukiweka habari za barua pembeni kati ya Mkuu wa Mkoa Mstaafu Ndugu Yusuphu Makamba na Mkuu wa mkoa wa sasa Paul Makonda nani zaidi;
Tutumie vigezo vifuatavyo:
- Mvuto.Nani alikuwa na mvuto zaidi kwa wanadaslaam
- Utekelezaji.nani alitekeleza wajibu wake kikamilifu katika kuleta mageuzi jijini
- Siasa:nani alikuwa na siasa za kijanja zaidi
- Mikakati:Mikakti ipi ilikuwa ya kijanja zaidi