Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,635
- 218,067
Huko CCM mambo si shwari tena, ni kama Mzee Makamba alikuwa anatafuta upenyo wa kumshambulia Dr Bashiru, na sasa ameupata.
Akiwa kwenye Mkutano wa CCM huko Dodoma, amemshambulia waziwazi Dr Bashiru kwa kumtaja jina bila kwikwi wala kupepesa macho, amedai kwamba Bashiru akiwa Katibu Mkuu wa CCM, alimwita Magufuli JEMBE na wala hakuna aliyempigia kelele , sasa leo watu wanasema MAMA ANAUPIGA MWINGI yeye anaumia nini?
Makamba amesema mengi, huku mengine yakiwa hayana tija yoyote.
Bali wengi wamejiuliza kama Makamba aliongea yote hayo kutoka moyoni mwake au ALITUMWA NA KITI? Hapa ndio ccm ilipofikia.
Akiwa kwenye Mkutano wa CCM huko Dodoma, amemshambulia waziwazi Dr Bashiru kwa kumtaja jina bila kwikwi wala kupepesa macho, amedai kwamba Bashiru akiwa Katibu Mkuu wa CCM, alimwita Magufuli JEMBE na wala hakuna aliyempigia kelele , sasa leo watu wanasema MAMA ANAUPIGA MWINGI yeye anaumia nini?
Makamba amesema mengi, huku mengine yakiwa hayana tija yoyote.
Bali wengi wamejiuliza kama Makamba aliongea yote hayo kutoka moyoni mwake au ALITUMWA NA KITI? Hapa ndio ccm ilipofikia.