Seif al Islam
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 2,156
- 638
Naomba niseme wazi kuwa yule ndiye mtu sahihi kwa ccm kwa muda huu ambao mambo yanaenda kombo.ni ngumu watu kunielewa lakini naamini yule mzee akirudishwa hizi mbio za cdm zitaisha fasta na maisha yataendelea kama kawaida.