Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,741
********* huyo wahindi bahili sana hiyo kampuni haitafika kokote cheki sasatel na HITS zimeishia wapi kuna benson nayo mpaka leo haikuwi
Hili ndilo tatizo letu Watanzania, kutotakiana mema; lakini nakuhakikishia kama wangesema wawekezaji kutoka nje (wazungu) ndiyo wanaleta kampuni mpya ya simu za mkononi-basi wala kejeli hizi husingezisikia. Mimi nafikili tumpe pongezi za dhati Ndugu Manji kwa kujikita katika sekta hii muhimu ya mawasiliano; kijana huyu ana uwezo mkubwa wa kibihashara na ni mbunifu sana, nakwambia atawashangaza wengi.
Nimeona jamaa humu kazungumzia pia Sasatel na kampuni nyingine kwamba hasikuwi, nataka kumfahamisha kwamba Sasatel shughuli zake za msingi ni kusambaza mtandao wa Internet kwa wateja wakubwa na wadogo na wamefanikiwa sana katika hilo, siyo vizuri kubeza beza watu.