chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 11,902
- 34,165
Watakao kosa ajira ni wahindi wenzake sababu hawa watu hawaajiri watanzania kwenye zile sehemu zenye maslahi hata akikuajiri hatakupa mshahara ambao atampa muhindi Mwenzake nashangaa sana wabongo wanawaowaona hawa watu ni wa maana kumbe ni watu wa hovyo tuAlafu anatokea MTanzania na elimu yake ya chuo, bila hata kujituma kufikiria anaanza kusema waTanzania watakosa ajira akiondoka Manji... What the hell is he benefiting from Manji ??
Yupo radhi amtoe muhindi Mwenzake India aje amgaramikie gharama zote mpaka Tanzania na gharama nyingine za maisha awapo kwenye company yake kuliko kumpa hiyo ajira mtanzania na kumlipa mshahara mzuri. Alafu wanajiita watanzania, kiswahili tu chenyewe haongei sijui mtanzania wa wapi.