Yusuf Manji kuhamishia biashara zake zote nchini Zambia

Lord Diplock MR

JF-Expert Member
Mar 16, 2015
1,393
3,233
Wanajamvi kumekuwa na tetesi za chini chini kuwa baada ya kuandamwa na serikali ya awamu ya tano kwa muda mrefu mfanyabiashara Yusufu Manji kuhamia Zambia. Habari kutoka kwa watu wa karibu zaidi na familia ya mfanyabiashara huyo zinasema mpaka sasa makampuni yake matatu yameshafungwa bado yupo katika hatua za mwisho wa kufunga biashara zilizobaki
IMG-20181205-WA0008.jpg
 
30 Reactions
Reply
Back
Top Bottom