kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,298
- 12,600
Kimya kimetawala Yanga haina mwenyekiti na uchaguzi uko kimya. Hii inamaanisha nini, Manji karudi au TFF na BMT walitishia nyau kutangaza uchaguzi wa mwenyekiti na wajumbe wengine?
Manji ni mtu muungwana anayeitakia mema Yanga, tunamuomba aache kuwagonganisha wanachama na shabiki wa Yanga, TFF, BMT na serikali kwa kukaa kwake kimya. Yanga inatakiwa ipige hatua sio kuendeleza migogoro kwenye club.
Ni wakati wa Manji kujitokeza hadharani Kwa mara nyingine kuonyesha msimamo kwenye jambo hili la uwenyekiti
Manji ni mtu muungwana anayeitakia mema Yanga, tunamuomba aache kuwagonganisha wanachama na shabiki wa Yanga, TFF, BMT na serikali kwa kukaa kwake kimya. Yanga inatakiwa ipige hatua sio kuendeleza migogoro kwenye club.
Ni wakati wa Manji kujitokeza hadharani Kwa mara nyingine kuonyesha msimamo kwenye jambo hili la uwenyekiti