BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,011
Siyo kwamba namfagilia, lakini hakukuwa na ushahidi wa kumtia hatiani kuhusu madawa ya kulevya.
Nikikumbuka Tambo za bwana Manji kipind ametajwa na Makonda kama Drug dealer, hapo ndo napata uhakika kuwa vyombo vya dola vina nguvu kuliko pesa ya MTU hasa vikifanya kazi kizalendo. Wakati wa kesi zake alitia huruma sana huyu boss. Mwenye picha yake tafadhali naomba.