Yusuf manji ameamua kujiuzulu yanga je ukarabati wa jengo na uwanja vipi au ameacha swimming pool?

Robinhomtoto

JF-Expert Member
May 17, 2017
238
244
WanaYanga wote pale mlipo najua mko kwenye sherehe za Ubingwa hongera sana.Rais wa Yanga Diwani Yusuf Manji ameamua kujiuzulu.Manji aliahidi angekarabati Majengo ya Klabu Na Uwanja wa Kaunda lakini Ameshindwa Kwa miaka 10 ya Uraisi wake.Alichofanikiwa ni kuwaachia Ubingwa Na Swimming Pool ya kisasa hilo tunampongeza.Tunawashauri wana Yanga mwacheni Manji apumzike kama alivyoomba .
 
Usijitoe Ufahamu.

Atakama hajajenga Uwanja, tuonyesheni wenu ulioko Bunju...tena wa ekari 10

Manji ameacha ekari 100 kule Kigamboni.

Linganisha mafanikio ya Manji na Kiongozi yeyote yule wa simba halafu uje kujitamba jukwaani.

Mafanikio pekee mliyoyapata kwa miaka 6 mbele yake ni kumfunga Yanga SC goli tu. Hakuna cha zaidi ya hapo!

Manj
 
Tuambieni nyinyi kwa Upande wenu.

Aveva aliingia madarakani akionyesha vidole 3 akiashiria atatwaa makombe 3 ya LigiKuu.

Mwaka huu anamaliza muda wake, amewapa makombe mangapi katika kipindi chake?
 
Tunawashauri wana Yanga mwacheni Manji apumzike kama alivyoomba .

Hakuna asiyejua kuwa uwepo wake muda wote wa awali mbili kama mwenyekiti wa Yanga SC hamjabeba Ubingwa.

Tunatambua pia kuona unatamani hata Leo asiendelee kuwa M/kiti ili mpatepo nafuu ya Ubingwa.

Kwa kuwakomoa hatuwaonei huruma wala nini.

""Manji anabaki""
 
Mtoa mada umeandika kima jungu sana, mashabiki wa yanga na simba hakuna wenye mafanikio ya kujivunia kwenye miundo mbinu.
Na anae mcheka mwenzio ni chizi tu
 
Simba na Yanga zote sawa tu kimiundombinu, hakuna wa kumcheka mwwnzake, inatakiwa timu hizi zifanyiwe mabadiliko makubwa kimfumo ili mpira wa Tanzania upande. Bila club bora hakuna timu ya Taifa bora.
 
Ahaaaa ubingwa Mara 27 mafanikio ni kuishia robo fainali aibu sana
Upande wenu ni mafanikio ni kufika fainali michuano kama hiyo...bila upande wetu na ukubwa wa klabu kama Yanga SC, kufika tu fainali sio mafanikio..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom