Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manji alihonga hela nyingi sana kipindi hicho hadi ilikuwa inatia kichefuchefu. Kama Kingunge alitumia kigezo hicho basi alitumia staha tu na ni busara kwa Manji kukaa kimya na kuhangaika na udiwani wake. Asitake watu wachomoe madudu yake ya nyuma ya kununua watu kama anavyofanya huko Yanga
ha...kwani una ID ngapi!!
Mkuu sioni kwa nini unachanganyikiwa na huoni the basic underlying principle hapa.Kwenye hayo maelezo yako, there is NO connection (be it clear OR blind) kati ya namna alivyokatwa yeye na alivyokatwa Lowassa.... Na unafiki wake anasema amegombea udiwani kwa vile kwake tatizo si cheo, bali maendeleo, kumbe alikatwa kwenye Ubunge..
Manji, hata mimi ningekukata. hu-fa-i. Period.
nitawashangaa sana wakazi wa mbagala endapo watauza utu wao
huyo mzee kingunge ni mnafiki kweli kabisa. afu anasema haende kwenye chama chochote na hali yupo na lowassa muda wote. na wanafiki wote huwa wanafeliKatika kipindi cha Power Breakfast leo asubuhi, Yussuf Manji wa Yanga amemtuhumu mzee Kingunge kuwa si mkweli na anahisia za kinafiki.
Amesema mwaka 2005, yeye Yussuf Manji alipata kura za kutosha kabisa katika mapendekezo ya kuwania jimbo la Kigamboni.
Kingunge wakati huo akiwa Kingunge wa kweli, alitumika kulikata jina lake , ati kwa kisingizio cha umri.
Hiyo ni licha ya wana CCM kumkubali katika kura za mapendekezo.
Ameshangaa sasa iweje leo Kingunge huyo huyo anaialia kwa Jina la Lowassa kukatwa alimradi yeye alianzisha mtindo huo, na hatimaye kukimbilia UKAWA.
MY TAKE
What goes around comes around!
Hata waswahili walisema mtenda hutendwa, mkuki mtamu kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu.
Asante Manji kwa kutukumbusha hili.
nimejiuliza sana hilo swali-huyu manji kuna kitu stepping stone to something-ndio maana nasema magufuli ni chaguo la mafisadi na Lowassa ni chaguo la munguHivi kwa nini watu hawajiliuzi kwa nini Manji anagombea Udiwani, ni kweli anataka kuwatumikia wananchi wa Mbagala Kuu katika wadhifa huo au kuna ziada ?
Manji alihonga hela nyingi sana kipindi hicho hadi ilikuwa inatia kichefuchefu. Kama Kingunge alitumia kigezo hicho basi alitumia staha tu na ni busara kwa Manji kukaa kimya na kuhangaika na udiwani wake. Asitake watu wachomoe madudu yake ya nyuma ya kununua watu kama anavyofanya huko Yanga
Kwasababu Lowassa ana umri mkubwa...!! Kumbuka Kikwete enzi za Nyerere. Tena kama ni kweli Manji kasema mambo hayo ni bora akaamua kukaa kimya kwani anaweza kuanzisha mjadala mwingine ambao unaweza kutikisa hii nchi.
Ndugu manji angeelezea utaratibu ulivyokuwa hadi kupelekea yeye kukatwa angeeleweka vzr. Ulinganisho huo alioutoa hauingii akilini kabisa.
Chadema ndio waliomtangaza huyo Edo kuwa ni fisadi. Lakini kwa kumbukumbu yako ilivyo fupi umeamua kusahau....Nyie ndiye mnayemtangaza kuwa Edo ni fisadi...