GT,naamini ungekuwa unatumia ID ya ukweli usingekuwa unaandika andika viroja visivyohusiana na hii thread hapa.Lakini kwasababu ni anonymous hujali heshima yako inavyokuwa on the line.
Wakati mwingine ni vyema kuwa na busara na kutohama kwenye mada nakuanzisha personal attacks. Ndoa au mabibi wa Mengi au kutotoa majibu ya UKIMWI hauwezi kubadilisha ukweli wa mambo aliyoyasema.
Wakati mwingine ni vyema kuwa na busara na kutohama kwenye mada nakuanzisha personal attacks. Ndoa au mabibi wa Mengi au kutotoa majibu ya UKIMWI hauwezi kubadilisha ukweli wa mambo aliyoyasema.