Nikukumbushe
JF-Expert Member
- Jun 4, 2013
- 2,602
- 408
Si steven mashishanga(aliyekuwa mkuu wa mkoa wa mwanza baadae mkoa wa Morogoro) tu,kuna Matheo Qures(aliyekuwa mkuu wa mkoa wa mbeya). Je hawa wapendwa ni waliondolewa kwa sababu ya Kikwete kuwa na visasi baada ya kupata urais? Kwa kuwa,wakati wa kugombea urais 2005,mh.Steven Mashishanga alikuwa anamsapoti sana Mh.Sumaye lakini baada ya mkulu wa nchi kuwa rais Mashishanga alipotea kabisa,nauliza je yuko wapi? Je,hii ndio misamaha anayoisema kikwete?
Kama kuna wengine naomba tuwaorodheshe tujue wako wapi na wanafanya nini?
Kama kuna wengine naomba tuwaorodheshe tujue wako wapi na wanafanya nini?