U'Kingunge' ktk academics ni hatari mno! Uishie huko huko kwenye siasa. Luhanga alienda kufundisha UK? Check your facts
Luhanga alikwenda kufundisha Chuo gani huko U.K. na lini.?? Toka aachie huo uVC yupo hapa Mbezi Beach anaswaga Konyagi tu!!!
U'Kingunge' ktk academics ni hatari mno! Uishie huko huko kwenye siasa. Luhanga alienda kufundisha UK? Check your facts
Huyu bwana ni Mnyarwanda au? Yes, I get the picture now. Ndo maana Prof Mshana ameenda huyu bwana alikotoka maana hapa alikuwa kama jiwe lililokataliwa na waashi
Mimi sijui kama anafundisha Open university of Tanzania, Lakini Juzi aliteuliwa na Bodi ya Chuo Kikuu cha Tanzania kuwa mmoja wa watu katika Chuo upande wa PlanningHuyu Prof. Bisanda kama sijakosea ndio Deputy Vice Chancellor (Academics) wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania. Nae nasikia alitokea Rwanda.
kwa heshima anayopewa huyu profesa rwanda,kurudi Tanzania ni ndotoMkuu Josh
Prof alirudi nyumbani kujenga taifa. Baada ya KIST kufanikiwa sana sasa yuko National University of Rwanda (NUR) ndio boss. Bado roho na tabia yake njema iko vile vile. I doubt kama atarudi tena Tanzania
Asante sana kwa mchango wako na pia itakuwa busara sana kwa Watanzania kuomba watu kama hawa kurudi hapa Tanzania na kujenga Taifa letuHuyu Professor tuseme yote ila yupo mbali sana, tuseme tutakavyo lakini tumpe haki yake. Kumbuka kuwa alikuwa Dean wa Kwanza mswahili, kama kawaida vijembe, uhalisia wake na ukabila wa Nyerere vilimfanya akimbie. Kuna mtu ameongelea umri kwa mtu kuwa Professor kwa muda mrefu ni added gain. huyu bwana ni mtanzania ambaye kila miezi sita anaenda kwao likizo tofauti na wasomi wengine wanakimbilia mijini, huyu ni mfugaji katika ukoo wao. Kwa wale makao makuu ya wilaya mpya ya Misenyi, hapo utakuta nyumba nzuri ambayo aliijenga miaka ya 80s. kilometa 3 toka hapo utakuta makazi ya Professor Rwekaza Mukandala hapo Kyaka.
Kuhusu maendeleo ya Rwanda, wako mbali na ni watanzania wengi wamewabeba acha sisi tupige siasa tu.
Kwa anayetaka kuwasiliana naye, Business Card yake ya sasa hivi ni hii hapa, I will try later to send you a scanned card:
NATIONAL UNIVERSITY OF RWANDA
Prof. Silas Lwakabamba
B. Sc, PhD(Leeds), D.Tech(hon) (Glasgow CU), MIET, FWIF, FINIT
Rector
University Avenue
B.P 117 Butare, Rwanda
Tel: +250 530 053 or +250 551 033 07 or + 1 360 519 5629
Fax: +250 530 121
Mobile: +250 083 001 66 or +250 053 001 66 or +1 360 519 5581
Hpuse: +250 530 042
e-mail: rector@nur.ac.rw.
website: www.nur.ac.rw.
Wote mliotaka kujua yupo wapi, habari ndiyo hiyo.
Nawakaribisha Rwanda.
Sijakuelewa kabisa ukisema kuwa hakuna sehemu iliyoandikwa Elimu?? Una maana gani wewe ulivyosema hapa juu au ndio unajifunza kuandika??ili tuendelee tunahitaji ARDHI, SIASA SAFI, WATU NA UONGOZI BORA
hapakundikwa elimu bora kwahiyo tusahau elimu hii ndio Tanzania
ili tuendelee tunahitaji ARDHI, SIASA SAFI, WATU NA UONGOZI BORA
hapakundikwa elimu bora kwahiyo tusahau elimu hii ndio Tanzania
Umesahau kitu kimoja cha mwisho uongozi bora na Mzungu.Bila huyo wabongo hawaendi
Na wewe Eid Mubaraka, nawatakila la kheri woteEid Mubarak Mkuu AmaniGK kwa ajili ya hapo nilipomwagia wino wa bluu
Tatizo letu kubwa tunapenda sana vitu rahisi rahisi, hivyo kuna ulazima wakuona mambo kama haya katika Taifa
Ndio maana Taifa hili nimeingia gharama kubwa sana kwa sababu ya kupenda cheap stuffs mkuu wangu, Hivyo kuna haja sisi kama Taifa kuona kuwa tunakwenda na kuongeza uwezo wetu wa kufikiria zaidi na kuona Taifa letu linapiga hatua kubwa ya maendeleoMkuu Eid Mubarak
Kweli sisi ni watu wa cheap politics, cheap social life, cheap economic gains, cheap thinking, cheap cheap cheap!! Hatutaki kuumiza akili kufikiri, wenye lugha wanasema rahisi ni ya ghali