wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,131
Wasalam,
Huyu ndugu yetu tangu akutane na spana za wajumbe wa Kawe amekosekana kabisa kutoa mada za maslahi mapana ya taifa.
Tunamuomba arudi humu, asifadhaike sana hayo yameshapita wala asihofu juu ya ukada wake.
Sisi tunajua alikuwa kazini tu.
Ama tujifariji kuwa kobe akiinama.
Huyu ndugu yetu tangu akutane na spana za wajumbe wa Kawe amekosekana kabisa kutoa mada za maslahi mapana ya taifa.
Tunamuomba arudi humu, asifadhaike sana hayo yameshapita wala asihofu juu ya ukada wake.
Sisi tunajua alikuwa kazini tu.
Ama tujifariji kuwa kobe akiinama.