hipocampus
Member
- Sep 14, 2020
- 89
- 104
Wakuu natumai nyie ni wazima wa afya naomba leo kujuzwa na wajuvi juu ya yule Msanii ama produza aliofanya Movie as Saladini na kadha wa kadha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee mkuu siku nyngine chukua namba yake nataka nizungumze nae mengi as far as movie industry concerns. .kuna siku alinipta pasiansi(ilemela) alikua kwenye noah.Sema skuchukua namba yake ningekupa mkuu
Kweli yani alijitahidi sana. Movie kama saladini ilikua na effect nzuri sana.Anaitwa july, yupo mwanza, kuna wakat alikua anaimba mziki ila halishindwa naona kaamua kutulia ila alikua balaa sana kwenye movie za kutisha, sijui kwa nn bongo movie hawamtumii na anasema alikua anatumia mazingaombwe/uchawi kwenye movies zake na sio effects
Movie zake ambazo yeye ndo kaziongoza kuna
Saladini
Mtemi
Chozi < kama sijakosea saladini pia alicheza humo kama mama alizaa mtoto akamwacha msituni
Hio mtemi ndio balaaaMovie zake ambazo yeye ndo kaziongoza kuna
Saladini
Mtemi
Chozi < kama sijakosea saladini pia alicheza humo kama mama alizaa mtoto akamwacha msituni
Ukikaa pale kwenye Daraja la Mabatini, hazipiti sekunde kumi hujamuona!kuna siku alinipta pasiansi(ilemela) alikua kwenye noah.Sema skuchukua namba yake ningekupa mkuu
😂Ukikaa pale kwenye Daraja la Mabatini, hazipiti sekunde kumi hujamuona!
yuko mwanza maeneo ya mabatiniWakuu natumai nyie ni wazima wa afya naomba leo kujuzwa na wajuvi juu ya yule Msanii ama produza aliofanya Movie as Saladini na kadha wa kadha!