Yupo wapi Jasusi Apson Mwang'onda

Apson,Juma Ighondu[kama sijakosea].Haya majina yalikuwa kwenye 'font fed' ya Mwanahalisi enzi zile Ulimboka anahamasisha yake. Siasa za watu wasiojulikana zikaasisiwa rasmi.Kweli tunaendelea kula chumvi.Mungu atuongezee muda mrefu zaidi wa kuishi.Ameeen
 
Hayo ndiyo madhara ya Kuajiri Watu Idarani kwakuwa tu walikuwa ' idle ' nyumbani huku wengine wakiishia tu Kubaka ' House girls ' wao na ' Kudokoa ' Nyama Jikoni matokeo yake wanakosa kabisa ' Maadili ' muhimu ya ' Usiri ' na ' Umakini ' ambayo ndiyo Kanuni Mama ya hiyo medani tukuka kiasi wanaishia Kuropoka / Kuzoza tu hovyo.

Unajuaje kama lengo la kuanzisha uzi huu ni kujulisha watu kilichomkumba Apson?
 
Hayo ndiyo madhara ya Kuajiri Watu Idarani kwakuwa tu walikuwa ' idle ' nyumbani huku wengine wakiishia tu Kubaka ' House girls ' wao na ' Kudokoa ' Nyama Jikoni matokeo yake wanakosa kabisa ' Maadili ' muhimu ya ' Usiri ' na ' Umakini ' ambayo ndiyo Kanuni Mama ya hiyo medani tukuka kiasi wanaishia Kuropoka / Kuzoza tu hovyo.

Mkuu natofautiana na wewe! Apson kukataliwa kwenda kutibiwa nje na rais kwako ilitakiwa iwe SIRI? Siri hii inaathiri au kuhatarisha vipi USALAMA WA TAIFA?

Mbona wamekataliwa wengi wakiwamo mawaziri wakuu wote wastaafu na wengine wa vyeo mbalimbali na haikuwa siri? Lakini itambulike kwamba kuvujisha siri kwa uchache wake (wenyewe wanaita leaking) ni moja ya njia ya kupata siri nyingine nzito. Makachero wengi hutumia njia hii, wewe utaona siri kumbe mtoaji anafanya kitu inaitwa fishing (chambo na ndoano). Ogopa siri zinazokosa nyama, zaweza kuwa mitego.
 
Kuna kale ka pub opozit na geti watu wanakula mavyakula na mabia mi sikaelewielewi Kwanini kako pale au ni kao yani kale já pub kana watoto bomba halafu mapaja yamejaa nilijimegea mmoja akawa ananiambia nichenji patern za Siri kutoka namba mpk za Kuchora nikamshtukia
Sio ajabu naye ni Mtu wa kitengo, hata barmaids wote hapo pia huenda wapo kazini.
 
Habari wana JF.

Niende kwenye mada hapo juu.

Apson Mwang'onda ni mmoja wa DG wa TISS hapo zamani. Anakumbukwa baada ya kustaafu alikuwa team Lowassa akiwa mwanamikakati wa kumsaidia kuusaka urais kupitia CCM.

Hata hivyo wajuvi wanadai alikuwa kule kwa Lowassa kimkakati kwa ajili ya kazi maalumu ambayo aliifanikisha na kuhitimisha June 2015.

Yupo wapi mtu huyu?
Yupo kwake mkoani Songwe mji wa Vwawa na kila siku kwake kuna misafara ya viongozi wakuu wakiingia na kutoka kwake.....
 
Habari wana JF.

Niende kwenye mada hapo juu.

Apson Mwang'onda ni mmoja wa DG wa TISS hapo zamani. Anakumbukwa baada ya kustaafu alikuwa team Lowassa akiwa mwanamikakati wa kumsaidia kuusaka urais kupitia CCM.

Hata hivyo wajuvi wanadai alikuwa kule kwa Lowassa kimkakati kwa ajili ya kazi maalumu ambayo aliifanikisha na kuhitimisha June 2015.

Yupo wapi mtu huyu?
Huyo mzee mwacheni apumzike kustaafu yupo nyumbani acheni kumsumbua humu mitandaoni
 
Yupo kwake mkoani Songwe mji wa Vwawa na kila siku kwake kuna misafara ya viongozi wakuu wakiingia na kutoka kwake.....
Mwacheni mzee wa watu apumzike kijijini kwani ni mda wake wa kukaa kulea wajukuu
 
Huyo ni mtoto wake,Mbeya wamemkataa ubunge zaidi ya Mara nne,sasa anaanza kumpenyeza mwanae Dr.Tulia.Wana mbeya kumbuka nyoka mdogo na mkubwa wote wana sumu.
Du mkuu umeandika kwa kujiamini kama kweli vile
 
Back
Top Bottom