Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,615
- 17,607
Hivi Eagle wing ndipo ilipo hospital ya Mzena ?Pale hamna kitu ndugu,kuna wakurugenzi na shughuli za kawaida tu..na hiyo hospitali
Rejea uliye mjibu hapo juu .
Hivi Eagle wing ndipo ilipo hospital ya Mzena ?Pale hamna kitu ndugu,kuna wakurugenzi na shughuli za kawaida tu..na hiyo hospitali
Eagle wing sijui ni nini?..ila pale knyama kuna hospitali,nmekula sana kuku kipindi flan ndani mule,palikua na mgahawaHivi Eagle wing ndipo ilipo hospital ya Mzena ?
Rejea uliye mjibu hapo juu .
Hayo ndiyo madhara ya Kuajiri Watu Idarani kwakuwa tu walikuwa ' idle ' nyumbani huku wengine wakiishia tu Kubaka ' House girls ' wao na ' Kudokoa ' Nyama Jikoni matokeo yake wanakosa kabisa ' Maadili ' muhimu ya ' Usiri ' na ' Umakini ' ambayo ndiyo Kanuni Mama ya hiyo medani tukuka kiasi wanaishia Kuropoka / Kuzoza tu hovyo.
Unajuaje kama lengo la kuanzisha uzi huu ni kujulisha watu kilichomkumba Apson?
Hayo ndiyo madhara ya Kuajiri Watu Idarani kwakuwa tu walikuwa ' idle ' nyumbani huku wengine wakiishia tu Kubaka ' House girls ' wao na ' Kudokoa ' Nyama Jikoni matokeo yake wanakosa kabisa ' Maadili ' muhimu ya ' Usiri ' na ' Umakini ' ambayo ndiyo Kanuni Mama ya hiyo medani tukuka kiasi wanaishia Kuropoka / Kuzoza tu hovyo.
Sio ajabu naye ni Mtu wa kitengo, hata barmaids wote hapo pia huenda wapo kazini.Kuna kale ka pub opozit na geti watu wanakula mavyakula na mabia mi sikaelewielewi Kwanini kako pale au ni kao yani kale já pub kana watoto bomba halafu mapaja yamejaa nilijimegea mmoja akawa ananiambia nichenji patern za Siri kutoka namba mpk za Kuchora nikamshtukia
Yupo kwake mkoani Songwe mji wa Vwawa na kila siku kwake kuna misafara ya viongozi wakuu wakiingia na kutoka kwake.....Habari wana JF.
Niende kwenye mada hapo juu.
Apson Mwang'onda ni mmoja wa DG wa TISS hapo zamani. Anakumbukwa baada ya kustaafu alikuwa team Lowassa akiwa mwanamikakati wa kumsaidia kuusaka urais kupitia CCM.
Hata hivyo wajuvi wanadai alikuwa kule kwa Lowassa kimkakati kwa ajili ya kazi maalumu ambayo aliifanikisha na kuhitimisha June 2015.
Yupo wapi mtu huyu?
chio kila ntu anantue, na chi kila ntu ntu anachema ntu inategemea kati ya ntu na ntu.Kila Ntu na NTUWE,Era yke imekwisha ngoja wengine nao wale mema ya nchi.
Kulikoni?Yupo kwake mkoani Songwe mji wa Vwawa na kila siku kwake kuna misafara ya viongozi wakuu wakiingia na kutoka kwake.....
sijuiKulikoni?
Huyo ni mtoto wake,Mbeya wamemkataa ubunge zaidi ya Mara nne,sasa anaanza kumpenyeza mwanae Dr.Tulia.Wana mbeya kumbuka nyoka mdogo na mkubwa wote wana sumu.Hivi Tulia Ackson naibu spika ni mtoto wake Apson
Huyo mzee mwacheni apumzike kustaafu yupo nyumbani acheni kumsumbua humu mitandaoniHabari wana JF.
Niende kwenye mada hapo juu.
Apson Mwang'onda ni mmoja wa DG wa TISS hapo zamani. Anakumbukwa baada ya kustaafu alikuwa team Lowassa akiwa mwanamikakati wa kumsaidia kuusaka urais kupitia CCM.
Hata hivyo wajuvi wanadai alikuwa kule kwa Lowassa kimkakati kwa ajili ya kazi maalumu ambayo aliifanikisha na kuhitimisha June 2015.
Yupo wapi mtu huyu?
Hahahahaaaa Kabisa NKUU.chio kila ntu anantue, na chi kila ntu ntu anachema ntu inategemea kati ya ntu na ntu.
Mwacheni mzee wa watu apumzike kijijini kwani ni mda wake wa kukaa kulea wajukuuYupo kwake mkoani Songwe mji wa Vwawa na kila siku kwake kuna misafara ya viongozi wakuu wakiingia na kutoka kwake.....
katika uongozi wake vijana wengi sana wa kutoka wilaya Mbozi waliingia kwenye kitengoMwacheni mzee wa watu apumzike kijijini kwani ni mda wake wa kukaa kulea wajukuu
Du mkuu umeandika kwa kujiamini kama kweli vileHuyo ni mtoto wake,Mbeya wamemkataa ubunge zaidi ya Mara nne,sasa anaanza kumpenyeza mwanae Dr.Tulia.Wana mbeya kumbuka nyoka mdogo na mkubwa wote wana sumu.
Ni kweli mtoto wake apsonDu mkuu umeandika kwa kujiamini kama kweli vile