Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,166
- 45,870
mitandaoni wameandika uongo tu.idd amin na ma dikteta wote wakubwa mfano hitler walikuwa wapole sana wakiwa nyumbani. kasoro joseph stalin tu ndio alikuwa kauzu kwa wanaeHata Mimi niliiona articles Fulani kumhusu huyo dogo wa zamani ni kwamba kutokana na tabia ya babu Amin kusikiliza sana waganga na tawire kama zote kuna mganga akamtabiria kua Luna mwanae atakuja kumpindua na kumuua Ili atawale yeye hapo ndipo akaamua ammalize nakumbuka hivyo