Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 10,526
- 13,013
wana bodi.
Naomba kujuzwa alipo huyu Gwiji la habar bwana Dotto Bulendu. alikuwa anaendesha kipindi kikienda kwa jina la "JICHO LETU NDANI YA HABARI" Ghafla kipindi kile kikafyekwa nadhan mwanzoni kabisa mwa msimu huu wenye kimbunga na mawimbi mengi kwenye tasnia ya habar..
Naomba kujua alipo bwana Bulendu.
Naomba kujuzwa alipo huyu Gwiji la habar bwana Dotto Bulendu. alikuwa anaendesha kipindi kikienda kwa jina la "JICHO LETU NDANI YA HABARI" Ghafla kipindi kile kikafyekwa nadhan mwanzoni kabisa mwa msimu huu wenye kimbunga na mawimbi mengi kwenye tasnia ya habar..
Naomba kujua alipo bwana Bulendu.