Angela Kairuki yupo wapi kwa sasa?

Wanawake wa kiafrika wanapenda sana kubebwa na wanaume kwa kutumia mahaba kama qualification criterion.

Angalia wanawake wote walio ktk nafasi zenye ushawishi mkubwa katika nchi hii lazima utakuta nyuma yake kuna mwanaume, anzia juu kabisa kushuka chini.

Hakuna mwanamke anayeweza kufika kileleni bila kusaidiwa na mwanaume, kama yupo mniambie ni nani na uangalie usiropoke usije ukaumbuka bure humu.

Huyo anayesemwa humu hayuko peke yake, wanawake wote, hasa wa kiafrika, hiyo ndio hulka yao. Tuseme tu ukweli, isingekuwa mwanamme leo hii tusingekuwa na rais mwanamke, watu wazima watanielewa. So please leave Angela alone.
Mie nimefika kileleni kwa juhudi zangu ndiyo hao wanaume wakaja kuniona na kuanza kudandia gar kwa mbele..ofkoz unaachaje Fu sasa Kama mwanaume kadandia na unaona anaweza kukufikisha sehem? Kawaida tu tunategemeana
 
Endelea hivyo hivyo sukuma gang....bado wanawrweseka mungu wao kaenda.....
Ukiwa boss wanakubembeleza .....one min anaondoka kaacha 20mik hapo...za kujikimu anaenda zake...anachafua tu ....unafikiri kuna cha maana wadasa wana siri nyingi za ma boss na wazee
Mzee aliwahi kukulala huyo Jiwe? Mbona unaongea bases on your own experience?
 
Huyu katika awamu ya 5 alikuwa agombei ubunge wala ubunge wa viti maalum lakini alikuwa anauhakika wa kupata ubunge na uwaziri

Cheupe oyee
 
Wanawake wa kiafrika wanapenda sana kubebwa na wanaume kwa kutumia mahaba kama qualification criterion.

Angalia wanawake wote walio ktk nafasi zenye ushawishi mkubwa katika nchi hii lazima utakuta nyuma yake kuna mwanaume, anzia juu kabisa kushuka chini.

Hakuna mwanamke anayeweza kufika kileleni bila kusaidiwa na mwanaume, kama yupo mniambie ni nani na uangalie usiropoke usije ukaumbuka bure humu.

Huyo anayesemwa humu hayuko peke yake, wanawake wote, hasa wa kiafrika, hiyo ndio hulka yao. Tuseme tu ukweli, isingekuwa mwanamme leo hii tusingekuwa na rais mwanamke, watu wazima watanielewa. So please leave Angela alone.
Napinga kwa nguvu zote unamjua Daktari Blandina Kilama yule yupo hapo alipo bila kutegemea mwili wake kama ngazi ya kumpa mafanikio
 
Wakurungwa salam,

Kulikuwa na Waziri anayeitwa Dr. Angela Kairuki nadhani mara ya mwisho kumsikia masikioni mwangu enzi za Mwendazake alikuwa ni Waziri wa Nishati.

Siku hizi amepotea kabisa katika ngoma za masikio zangu. Hivi bado ni Waziri? Yupo wapi siku hizi? Bado ni Mbunge au Ubunge wake ulikwisha?
Duuh
 
Y
Wakurungwa salam,

Kulikuwa na Waziri anayeitwa Dr. Angela Kairuki nadhani mara ya mwisho kumsikia masikioni mwangu enzi za Mwendazake alikuwa ni Waziri wa Nishati.

Siku hizi amepotea kabisa katika ngoma za masikio zangu. Hivi bado ni Waziri? Yupo wapi siku hizi? Bado ni Mbunge au Ubunge wake ulikwisha?
Angela Karuki na maza ni paka na mbwa. Ila Karuki ana uwezo mkubwa wa kufikiri, kutenda, kuamua na kuongoza kuliko maza.
 
Wakurungwa salam,

Kulikuwa na Waziri anayeitwa Dr. Angela Kairuki nadhani mara ya mwisho kumsikia masikioni mwangu enzi za Mwendazake alikuwa ni Waziri wa Nishati.

Siku hizi amepotea kabisa katika ngoma za masikio zangu. Hivi bado ni Waziri? Yupo wapi siku hizi? Bado ni Mbunge au Ubunge wake ulikwisha?
Huna picha yake?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom