careenjibebe
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,604
- 1,646
Hujakutana naye kwakaribu weye heeeheee uliza walofanya naye kaziMbona mpole vile?
Hujakutana naye kwakaribu weye heeeheee uliza walofanya naye kaziMbona mpole vile?
Mie nimefika kileleni kwa juhudi zangu ndiyo hao wanaume wakaja kuniona na kuanza kudandia gar kwa mbele..ofkoz unaachaje Fu sasa Kama mwanaume kadandia na unaona anaweza kukufikisha sehem? Kawaida tu tunategemeanaWanawake wa kiafrika wanapenda sana kubebwa na wanaume kwa kutumia mahaba kama qualification criterion.
Angalia wanawake wote walio ktk nafasi zenye ushawishi mkubwa katika nchi hii lazima utakuta nyuma yake kuna mwanaume, anzia juu kabisa kushuka chini.
Hakuna mwanamke anayeweza kufika kileleni bila kusaidiwa na mwanaume, kama yupo mniambie ni nani na uangalie usiropoke usije ukaumbuka bure humu.
Huyo anayesemwa humu hayuko peke yake, wanawake wote, hasa wa kiafrika, hiyo ndio hulka yao. Tuseme tu ukweli, isingekuwa mwanamme leo hii tusingekuwa na rais mwanamke, watu wazima watanielewa. So please leave Angela alone.
Namjibia, hapana! Ila amepiga kisu kwenye mshono.Samahani, na wewe ni mjane wa Marehemu?
Mzee aliwahi kukulala huyo Jiwe? Mbona unaongea bases on your own experience?Endelea hivyo hivyo sukuma gang....bado wanawrweseka mungu wao kaenda.....
Ukiwa boss wanakubembeleza .....one min anaondoka kaacha 20mik hapo...za kujikimu anaenda zake...anachafua tu ....unafikiri kuna cha maana wadasa wana siri nyingi za ma boss na wazee
HahahaUngempa uone kama hawezi
Nadhani una mix up na ur mom ....Mzee aliwahi kukulala huyo Jiwe? Mbona unaongea bases on your own experience?
Napinga kwa nguvu zote unamjua Daktari Blandina Kilama yule yupo hapo alipo bila kutegemea mwili wake kama ngazi ya kumpa mafanikioWanawake wa kiafrika wanapenda sana kubebwa na wanaume kwa kutumia mahaba kama qualification criterion.
Angalia wanawake wote walio ktk nafasi zenye ushawishi mkubwa katika nchi hii lazima utakuta nyuma yake kuna mwanaume, anzia juu kabisa kushuka chini.
Hakuna mwanamke anayeweza kufika kileleni bila kusaidiwa na mwanaume, kama yupo mniambie ni nani na uangalie usiropoke usije ukaumbuka bure humu.
Huyo anayesemwa humu hayuko peke yake, wanawake wote, hasa wa kiafrika, hiyo ndio hulka yao. Tuseme tu ukweli, isingekuwa mwanamme leo hii tusingekuwa na rais mwanamke, watu wazima watanielewa. So please leave Angela alone.
NB: There is exception to every rule.Napinga kwa nguvu zote unamjua Daktari Blandina Kilama yule yupo hapo alipo bila kutegemea mwili wake kama ngazi ya kumpa mafanikio
Three can keep a secret if two have died.
DuuhWakurungwa salam,
Kulikuwa na Waziri anayeitwa Dr. Angela Kairuki nadhani mara ya mwisho kumsikia masikioni mwangu enzi za Mwendazake alikuwa ni Waziri wa Nishati.
Siku hizi amepotea kabisa katika ngoma za masikio zangu. Hivi bado ni Waziri? Yupo wapi siku hizi? Bado ni Mbunge au Ubunge wake ulikwisha?
Yes it's trueNB: There is exception to every rule.
Angela Karuki na maza ni paka na mbwa. Ila Karuki ana uwezo mkubwa wa kufikiri, kutenda, kuamua na kuongoza kuliko maza.Wakurungwa salam,
Kulikuwa na Waziri anayeitwa Dr. Angela Kairuki nadhani mara ya mwisho kumsikia masikioni mwangu enzi za Mwendazake alikuwa ni Waziri wa Nishati.
Siku hizi amepotea kabisa katika ngoma za masikio zangu. Hivi bado ni Waziri? Yupo wapi siku hizi? Bado ni Mbunge au Ubunge wake ulikwisha?
Huna picha yake?Wakurungwa salam,
Kulikuwa na Waziri anayeitwa Dr. Angela Kairuki nadhani mara ya mwisho kumsikia masikioni mwangu enzi za Mwendazake alikuwa ni Waziri wa Nishati.
Siku hizi amepotea kabisa katika ngoma za masikio zangu. Hivi bado ni Waziri? Yupo wapi siku hizi? Bado ni Mbunge au Ubunge wake ulikwisha?
Na yule mtoto wa 'marehemu' auNadhani atakua China
Nikitwaliwa kwenda mbunguni nikimkuta mwendazake huko natoka nje!China kwa mumewe hahaha, mwendazake alikuwa na mambo aisee
Hivi yale mataa yanayomulika kisarawe bado yapo?!
Huyu so ndo kikotooo, alitaka kupiga pesa za wastafuu, hamna loloteY
Angela Karuki na maza ni paka na mbwa. Ila Karuki ana uwezo mkubwa wa kufikiri, kutenda, kuamua na kuongoza kuliko maza.