Yupi utakaye muanza kumpa pesa hapa?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,293
33,078
314098_10152146022905198_1731268189_n.jpg


Who is first can you give money?
 
unaweza mpa paka maziwa lakini paka wa wenzetu wanakaula chakula kizuri kuliko maziwa yetu...
 
ntawapa wote bila kubagua kwani wote ni viumbe wa mungu
ila kale ka msemo kamfadhili mbuzi ipo siku utakula kisusio kuliko binadamu takatupilia mbali!
 
MziziMkavu kwani hela huwekwa kwenye kikombe!!!labda wanahitaji kimiminika fulani!!ila huyo binadamu simpi ameficha uso wake kwa nini!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom