ZionGate
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 6,331
- 2,942
Mchumia tumbo tu huyo, fisadi kuiona ikulu ni ndoto ni kama mzinzi kuona ufalme wa Mungu, mtampambaa lkn muda utasema ukweli.
Lumumba kwa kukariri ndio maana mnaishi kama mazombi, kwa iyo kwa Mungu dhambi pekee ni uzinzi