Elections 2015 Yupi ni Ripota Bora wa Habari za Uchaguzi (Kampeni)??

comment 13 wanasema Spencer, mshirikina mmoja unasema Buhohela, haya wacha niendelee kuhesabu hizi kura na tarehe 25 mwendo ni huu huu.

Mkuu mbavu zangu !!!. Kweli ITV wametutoa mrisi. Hivi tungeingia uchaguzi na TBC & Star tv peke yao waTz situngelishwa sumu ya kijani peke yake.

Hongera Spencer
 
Spence lameck lakini nawaonea huruma ccm tunawaburuza au wanaccm ni wale wasioenda shule nn watumii mitandao pia tatizo lao wanaungwa mkono na watu wenye upeo mdogo
 
Nimefatilia kwa umakini, nikagundua kuna maripota wanastahili heshima kwenye kazi zao. Hawababaishi, wanaripoti habari na matukio ya kampeni kama yanavyotokea bila upendeleo au kuzidisha chumvi hasa wakati huu tukielekea Oktoba 25.

Naomba nitambue mchango wa Spencer Lameck wa ITV. Dogo yuko vizuri sana, anaripoti kile kinachotokea bila kupindisha ukweli. Kwangu mimi ndio ripota bora kabisa.

Mchumia tumbo tu huyo, fisadi kuiona ikulu ni ndoto ni kama mzinzi kuona ufalme wa Mungu, mtampambaa lkn muda utasema ukweli.
 
S lameck yani nackilizaga tuu kipande cha kampeni za ukawa na hashim rungwe plus habar za kimataifa
 
Mwanzoni alikuwepo Asraji Mvungi. Sijui alikula maharage ya wapi huyu?!!! nadhani alikuwa kwenye mission baada ya kunyweshwa maji ya bendera ya kijani
 
Back
Top Bottom