Al-watan Musa
Member
- Oct 20, 2017
- 10
- 10
Mapenzi ni baina ya jinsia mbili- mwanamke na mwanaume,
Ijapo ni Mara chache hutokea mwanaume na msichana wakapendana mapenzi ya dhati na kuvumiliana katika shida na raha.
Ila yapo machafuko katika mahusiano ambayo hadi Leo bado haijajulikana chanzo ni msichana au mvulana na hata maoni ya watu yanajikita zaid katika jinsia.
Wanaume watasema wanawake ndo chanzo na wanawake watasema wanaume ndo chanzo.
Sasa Leo nahitaji busara itumike, bila kupendelea jinsia yako ebu nambie we unazan nani mwenye upendo wa dhati kati ya mwanaume na mwanamke.
Na nani ndo chanzo cha machafuko ya kimahusiano kati ya mvulana na msichana?
Ijapo ni Mara chache hutokea mwanaume na msichana wakapendana mapenzi ya dhati na kuvumiliana katika shida na raha.
Ila yapo machafuko katika mahusiano ambayo hadi Leo bado haijajulikana chanzo ni msichana au mvulana na hata maoni ya watu yanajikita zaid katika jinsia.
Wanaume watasema wanawake ndo chanzo na wanawake watasema wanaume ndo chanzo.
Sasa Leo nahitaji busara itumike, bila kupendelea jinsia yako ebu nambie we unazan nani mwenye upendo wa dhati kati ya mwanaume na mwanamke.
Na nani ndo chanzo cha machafuko ya kimahusiano kati ya mvulana na msichana?