KAKA A TAIFA JF-Expert Member Apr 27, 2011 566 80 Aug 24, 2011 #1 Kuna mmoja ni mkweli,mwingine ni msanii,mwingine anauchungu wa wananchi,mwingine ni mwekezaji yupi atufaa Attachments scan0001.jpg 333.6 KB · Views: 124
Kuna mmoja ni mkweli,mwingine ni msanii,mwingine anauchungu wa wananchi,mwingine ni mwekezaji yupi atufaa
Baba Collin JF-Expert Member Aug 1, 2011 456 58 Aug 24, 2011 #2 Ukimuacha huyo wa kwanza na wapili kushoto.hao waliobaki ni mafisadi.
mikatabafeki JF-Expert Member Dec 29, 2010 12,772 4,641 Aug 24, 2011 #3 huyo wa kwanza kwa kweeeli hata akifufuka atalia kwa uchungu