Zneba
Senior Member
- May 12, 2010
- 192
- 7
jamani tusaidiane kwenye hili,yupi mwenye afadhali kati ya watu hawa wawili
anayekujali saana tu muda wote anataka kujua unafanya nini anakutext asubuhi na mapema kukujulia hali anakusaidia shida zako zote kwa kifupi anakutekelezea kila kitu,BUT suala la kitandani ni sifuri yani anafika kileleni ndani ya dk mbili akikuacha hoi kwa kutokumaliza hamu
na huyu wa pili yy yupo vizuri mno kitandani anakufanyia kila kitu na mpka unamaliza haja yako vizuri kwa kifupi kitandani yupo fit na kama hujaridhika atajitahidi mpka uridhike,BUT,suala la mawasiliano ni hakuna na hakuonyeshi kama anakupenda ama vipi akikupigia simu asubuhi ni mpk usiku au asikupigie kabisa hakusaidii kwa lolote kwa kifupi kwa mapenzi ya nje hakupi kabisa.
anayekujali saana tu muda wote anataka kujua unafanya nini anakutext asubuhi na mapema kukujulia hali anakusaidia shida zako zote kwa kifupi anakutekelezea kila kitu,BUT suala la kitandani ni sifuri yani anafika kileleni ndani ya dk mbili akikuacha hoi kwa kutokumaliza hamu
na huyu wa pili yy yupo vizuri mno kitandani anakufanyia kila kitu na mpka unamaliza haja yako vizuri kwa kifupi kitandani yupo fit na kama hujaridhika atajitahidi mpka uridhike,BUT,suala la mawasiliano ni hakuna na hakuonyeshi kama anakupenda ama vipi akikupigia simu asubuhi ni mpk usiku au asikupigie kabisa hakusaidii kwa lolote kwa kifupi kwa mapenzi ya nje hakupi kabisa.