Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,648
- 75,732
Sijawahi kukasirikia vuta n kuvute za JF. Nafikiri huwa unaniona ndiyo maana nilikujibu poa.Usijali mkuu ataivo nilikua natania sikua serious
Sijawahi kukasirikia vuta n kuvute za JF. Nafikiri huwa unaniona ndiyo maana nilikujibu poa.Usijali mkuu ataivo nilikua natania sikua serious
Hehe sawa mkuu lakini hujanijibu chunda na makalla nani mkali? Ntaku pm unipe track kali 3 za makallaChukua ulbum ya nakala za makalla yote isikilize
Kuna track kama arusha..ukiskia paa..sifagiliwi..siskii na nyinginezo.
Chunda ninamjua saana haina haja ya kunipa track zake.
Toka anaanza kuimba nawadabisha..swahili. usione hatari.nasema ninachojua ft fid namjua saana.
Unapopanga kikosi usiwaweke wachezaji wa aina moja sehemu moja. Ndicho nilichofanya mkuu. One mbishi stereo wanamziki unaoendana. Nimechukua wakali.
Komenti kama hizi tunaandikaga wachache... Hands up fi big bro ghetto Ambassador.. Talib kweli.. Balozi wa ghetto..Ghetto ambassador
We kazi yako mbona inajulikana... Fitina (jokes dude)Jf kila mtu ni mkubwa kuliko anae mwongelea(dogo)
Nilivosoma hii komenti nimetamani Kulia,Makalla ni nan au jcb kama ni huyo mtoe haraka ni mkongwe tu kwenye game nothing else, unataka kunambia makalla ni mkali kuliko prof j, songa, chunda, msodoki u must be kiddin bro
Huyo wa ukoo ni nani? Anyway ni mtazamo wako ila ningefurah kama ungenishawishi kwa punchlines
M.A.PMangwear
Ngoja tu niandike labda utapata chochote kipya.Swali dogo tu, makalla na chunda nani mkali?
Nitajie ngoma tatu za makalla nikaskilize nami nitakupa 3 za stereo then tutafanya comparison kwa kuzingatia criteria hizi
1.iwe ya story
2.iwe kajiachia tu inayozungumzia vitu tofaut
3.collabo kali aliyowah kufanya
Nawasilisha