Yupi kati ya mama na baba ndiye muanzilishi wa uhai?

Weka background/ context ili ujibiwe vizuri. Sema nini kimepelekea wewe kuuliza ili swali hapa. Mfano umebishana na mkeo kuwa nani kati yetu ame-play role kubwa kuleta mtoto wenu. Au umesikia kanisani au msikitini. Au umesoma kwenye scholarly journal na kukutana mabishano juu ya principles za reproduction. Au ni ndoto yako tu = opinion. Au ni philosophy ya mwanzo wa mwanadamu.
 
Baba anachangia 50% na Mama 50%............wote kwa pamoja ndio waanzilishi wa uhai.
 
Spermatozoa ina sifa ya kitu HAI ( ukiingalia kwenye darubini ) inatembea.inaweza penya sehemu nyembamba sana,
Ovum haina sifa za ujao...Ni km ua zuri sana.
 
Weka background/ context ili ujibiwe vizuri. Sema nini kimepelekea wewe kuuliza ili swali hapa. Mfano umebishana na mkeo kuwa nani kati yetu ame-play role kubwa kuleta mtoto wenu. Au umesikia kanisani au msikitini. Au umesoma kwenye scholarly journal na kukutana mabishano juu ya principles za reproduction. Au ni ndoto yako tu = opinion. Au ni philosophy ya mwanzo wa mwanadamu.

Ukilitazama jambo hili from both angles mkuu!...
 
Back
Top Bottom