MWAKATA KWETU
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 562
- 319
Mpaka leo niko njia panda kwani sijajua kabisa ni nani atakayekuwa mkuu wa nchi hii.ndugu watanzania wenzangu wengi wetu tumekuwa tukizania tu ila jibu kamili bado.......au wewe unafikili ni nani atakae faa kuwa president?watanzania tuache ushabiki wa vyama,tuache makundi ndani ya vyama vyetu hakika tutaweza pata raisi anayetufaa na hajawahi kuwa na kashifa yoyote ndani na nje ya nchi na mchapa kazi na anayeweza kusimamia utawala wa sheria.