Yupi atakuwa na nafasi zaidi kati ya aliesoma diploma mbili tofauti au shahada ya fani moja

Mwizukulu jilala

JF-Expert Member
Jun 11, 2016
1,095
930
Nilikuwa nabishana na jamaa zangu hapa kuhusi yupi bora zaidi aliesoma diploma mbili za fani tofauti au aliesoma shahada ya fani moja kwa mfano mtu alianza kusoma diploma ya ustawi wa jamii halafu baadae akasoma diploma ya nursing na mwingine akasoma bachelor of science in nursing moja kwa moja....
 
Diploma hata kumi still degree itabaki kuwa degree, hivyo pia kwa masters na PhD.

Tofauti kubwa inakuwa kwenye courses unazosoma-IQ kubwa zaidi, hata aina ya lecturers.
 
Degree ni jiwe hasa zama hizi.Diploma hata kama una kumi.Pili linganisha elimu NA fursa siyo mshahara.
 
Sio degree zote ni bora kuliko diploma.

Inategemea diploma yenyewe umesoma nini na kwa wakati gani.

Kwa mfano kwa wakati tulio nao,ni bora ukasoma diplom ya kada za afya(clinical medicine,nursing,medical lab au pharmaceutical science)kuliko hata bachelor degree ya ualimu wa masomo ya sanaa.
Umenena vyema sana mkuu. Bora hamsini nzima kuliko mia mbovu.
 
Jipe moyo tu.... mfano hauendani na uharisia ndo wabongo tulivo
Kwanza kabisa jifunze kuandika maneno ya kiswahili kwa usahihi.

Neno sahihi ni uhalisia na sio ''uharisia''

Na huo uhalisia unaosema wewe ni upi?

Nna ushahidi na nnachokiandika,kuna kundi kubwa la watu walisoma bachelor degree za kada mbalimbali.

Wakapigika sana mtaani mwisho wa siku wakaamua waje kusoma diploma za kada ya afya angalau wapate unafuu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom