Yule waziri Gwajima ni kiboko - anakupa makavu laivu

Shocker

JF-Expert Member
Sep 15, 2012
1,921
3,801
Mijibaba na ndevu zao wanawekwa kiti moto na kufikia kuomba msamaha kwa Waziri Gwajima ,watu kama hawa ndio wanaofaa ,na alipiga dongo kubwa sana ,dongo ambalo lilimlenga maremu kupanga vihio kwenye roho za serikali au kupanga watu ambao fani zao ni tofauti na wanapopaongoza.
 
Mijibaba na ndevu zao wanawekwa kiti moto na kufikia kuomba msamaha kwa Waziri Gwajima ,watu kama hawa ndio wanaofaa ,na alipiga dongo kubwa sana ,dongo ambalo lilimlenga maremu kupanga vihio kwenye roho za serikali au kupanga watu ambao fani zao ni tofauti na wanapopaongoza.
Sijui hata umeandika nini?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom